Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo


Hii ni single bet ya 6 kila niki share hapa janvini inachana

Akili zangu za hangover za asubuhi nikawaza hapa dawa yake nikipost single bet basi wewe bet kinyume chake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nikibet Aseno win, mpe mpinzani Double chance.
Under weka over
Dk 3 foul yes, weka No
Yaani hivyo
 
Wakuu Mimi Nina shida hapa kwenye option ya 2/1


Ninachojua ni kwamba 1H away win na 2H home win

Sasa mfano mechi imeenda 1H inakua 0:1 halafu 2H inakua 1:0
FT 1:1 hapo option ya 2/1 nakuwa imetoa?
 
Wakuu Mimi Nina shida hapa kwenye option ya 2/1


Ninachojua ni kwamba 1H away win na 2H home win

Sasa mfano mechi imeenda 1H inakua 0:1 halafu 2H inakua 1:0
FT 1:1 hapo option ya 2/1 nakuwa imetoa?
Hapana hiyo option ni Halftime/full time na sio First half/Second half
Kwahiyo kama half time imeisha 0:1 basi ili iwe won full time huyo wa home anatakiwa ashinde kwa idadi yoyote ya magoli yani hadi filimbi ya mwisho huyo wa nyumbani inatakiwa awe ameshindq
 
Asante mkuu

Nilikua nadhan hii option ni simple kumbe Kuna kaugumu fulani
 
Yeah ni ngumu sana ndo mana hata odds zake zimeshiba kidogo wengi wanachezaga zile X/2 au X/1 ndo huwa rahisi kutoa
Asante mkuu

Nilikua nadhan hii option ni simple kumbe Kuna kaugumu fulani
 
Naona Gundu la mechi moja kuharibu limeniganda sana.😡
View attachment 2897577
Nilishangaa yaani Atletico wa kukosa goli kweli,,,, kumbe mwamba ulicheza hiyo option dah,,,, umetuua aisee🤣🤣🤣 just joking

Ndo betting bhana kikubwa usipaniki na kuamini eti kila mkeka lazma moja iharibu!! Hapana usiijengee akili yako fikra hiyo

Alafu jaribu kwa timu nne au sita,,,, usicheze mkeka wako kwa namba witiri bali shufwa!!!

Hebu tengeneza mkeka wako wa timu nne alafu cheza na mwingine weka sita au kama timu hakuna cheza hata mbili tu,,,, usiwaangalie unaingiza kiasi gani bali ni kwa ajili ya kuutafuta upepo wako uliko
 
YANGA vs Mashujaa Jana nilibet ikiwa na Odds 34
Leo zipo 12 Odds

Betting in advance ina umuhim wake

Hii Inajulikana mkuu lakini na chance za kuliwa zinaongezeka.

Mfano Uki bet leo Mechi ya Wiki Inayo Jumamosi odds zitakuwa nyingi lakini in between hapo mchezaji mzuri anaweza kuumwa, kupata injury au shida zingine zikamfanya asichezee.

Ndio maana Kadri muda unavyo karibia odds zinapungua na kuongezeka kutegemea na sababu mbalimbali kama Vikosi na Nini

KANJI anaakili Nyingi sanaaa [emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…