Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Anapenda kupigwa mashine sana Joanah
Ni kawaida ya mademu wembamba. Nilishawahi kuwa na sampuli hizo hujutii. Huwezi kusikia nimechoka,utakuja kujua baada ya kuona siku nzima hatoki kitandani,hata kuinua mkono ishu muda wote usingizi mzito.
Ubaya unakuja kuingia kwenye kibarua cha kuangalia afya yake kuhakikisha anakula
 
MECHI ZA LEO TAREHE 07/02/2024

AFCON

(1) Nigeria vs South Africa

Mchezo huu ni mgumu Sana, lakini pamoja na ugumu wote Nigeria Wana shinda mchezo huu.
1-1 FT
PEN 4-2 [emoji736][emoji736] Nigeria wooon[emoji28][emoji383][emoji383]

(2) Ivory coast vs Congo DR

Ivory coast atashinda mchezo huu.
Tusubil game hii ya mwisho
Wangap mlifata utabiri huu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91]
By magical power
We jamaa1[emoji848]
Ndo nguvu ya magic power???
 
MECHI ZA LEO TAREHE 07/02/2024

AFCON

(1) Nigeria vs South Africa

Mchezo huu ni mgumu Sana, lakini pamoja na ugumu wote Nigeria Wana shinda mchezo huu.
1-1 FT
PEN 4-2 ✅✅ Nigeria wooon😅💰💰

(2) Ivory coast vs Congo DR

Ivory coast atashinda mchezo huu.
Tusubil game hii ya mwisho
Wangap mlifata utabiri huu😂😂😂🔥🔥
By magical power
kwa option uliyoweka, mkeka umechanika huo.

mkeka umechanika halafu unafosi uonekane won.
 
IMG_6134.jpg
 
kushinda ni tofauti na kufuzu. kushinda ni full time direct win, na kupita/kufuzu ni kuqualify. watu wengi humu wanakuelewesha lakini bado tu unang'ang'ania iliolost ionekane won.
Mbona makasiriko 😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom