Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

My only goal now is to lose weight. To be honest, I've already tried many times, but due to my sedentary lifestyle and my new hobby of gambling, it is really difficult for me to lose weight. Of course, I can consider weight loss alternatives and betting to fade into the background. But this is really an activity that I really enjoy as a leisure activity.
 
Wenzangu mmefanikiwa kutoa pesa 1xbet kwa wakala? Mimi nahangaika hapa confirmation code haiji dakika 20 nzima..
 
Leo singida anakufa vibaya sana
 
Wenzangu mmefanikiwa kutoa pesa 1xbet kwa wakala? Mimi nahangaika hapa confirmation code haiji dakika 20 nzima..
Lengo la 1xbet kuweka option za simu na kuziondoa ilhali zilikuwa zinafanya kazi vizuri Tu ni ni I?


Mbona ni wapumbavu kwanini wasiamue moja?
 
Lengo la 1xbet kuweka option za simu na kuziondoa ilhali zilikuwa zinafanya kazi vizuri Tu ni ni I?


Mbona ni wapumbavu kwanini wasiamue moja?
Pengine wanataka tutumie mawakala.
Hata hivyo nimeshafanikiwa kutoa kwa Romano.
 
ila kurud unavyoona inaeza kurudi!!?
Nimejaribu kuwasiliana nao wakaniambia tatizo liko Selcom, kuhusu kurudi wameniambia tuendelee kusubiri au tujaribu payment methods nyingine.

Weke pesa (deposit) kisha unaistake pesa yote kwa odds zinazoanzia 1.1 then unaweza kuwithdraw zote zilizo kwenye account kwa njia hiyo mpya) me nimesajiri ASTROPAY ndio nataka nijaribu now.

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
 
Mliompa na mtakaompa juventus au chelsea leo mjiandae kisaikolojia, bundi leo anarukaruka hapo! Wale wa fc porto ondoeni presha mambo yataenda poa sana.....msijesema hamkuambiwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…