Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo


Mkuu kwani unadhani serikali haijui kama Tz kunauzwa bangi unga gongo, machangu nk?

Kuna tofauti kati ya ku delay kulipa na kutokulipa kabisaaaa
Hebu wewe Jasiri deposit 22bet au Helabet uone kama utaweza kuzitoa hela
Ni wiki ya pili sasa hakuna anayeweza kutoa hela Paripesa


Nimebet na kampuni zote hizo hivyo najua ninacho maanisha

Kuhusu 1xbet
Hata mimi natumia hii kampuni kuliko kampuni yeyote ile
Lakini ukweli ni kwamba tunatumia njia za panya kuweka na kutoa

Nimewahi kudhulumiwa na wakala 370k na sikua na pa kwenda kulalamika sababu kampuni haijasajiliwa bongo
Nimewahi kuzinguliwa na Parimatch nikalalamika bodi ya kamari na wakatatua changamoto yangu...... HII NDIO TOFAUTI MKUU

Unaweza kubet na kambuni yoyote ile duniani online ukatumia bitcoins au hata bank card..... but at your own risk

Narudia tena PARIPESA ni ma tapeli kama 22bet Helabet wanakupiga mchana kweupeeee
Kama una bisha deposit halafu lete ushuhuda hapa
 
Helabet naitumia sana lakini haijawahi nizingua naweka hela na kutoa safi kabisa
 
***** nimeamini game zinakuwa fixed Kama mtu anaangalia game ya galatasary vs Sparta Prague.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…