Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Thats mejiko mr mashuke
 
Da huu mkeka wangu mwingine sh 100 tu ilikuwa inakuja sh 100000 moja na kitu sema port kupata bao mbili ni ndoto maana mpaka sasa ni 0-0.. [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
 
Kwenye betting nilichojifunza kuweka odd ndogo haikupi garantee ya kushinda wakati mwingine tunakimbilia odd ndogo na kuacha kubwa na bado tunaangukia pu

Acha kutuona sisi mandezi , kalisha pumbu zako mzee!! Hakuna wa kununua odd
na mtapigwa mpaka mchakae pumbavu nyny wajinga nn hakuna siku niliweka odd ikafel hapa mkiambiwa mchangie mnaleta upuuz na kuona watu matapel endeleen kuliwa afu kesho mje natoa odd 1500 za bure ni uhakika
 
Sema life bhana,,, namsikia mwamposa anavyokusanya pesa kingese kupitia tv ya jirani,,,, ila maisha nyie
ila mi kukusanya hela zenu kwa kuwauzia odd munichangie kijana mwenzenu hela ya kutomber hamtaki haya twenden kwa mwamposaa tukauziwe......
 
uliangalia list ya majeruhi ya liverpool mkuu?
yani kupata draw kwa kikosi cha leo wamejitahidi sana, 1st eleven yote wapo wodini (ulitegemea watakupa chochote?)
liver kashinda moja sijaelewa kwanini kwenye betting wamemlost hebu google mech ya chelse na liver utapata matokeo
 
Nabii hujui hata sheria, ulimpa ashinde au afuzu?
aanh mkuu nabii huwa habeti ila anawapa wafuasi maono yake, maono yangu kwenu kwa liver atashinda na kashinda moja sasa hizo sheria na unabii ni vitu viwil tofauti,,,ninachojua liver kashinda moja au walifungia mikono badala ya miguu?
 
wewe umeanza kubeti lini?? husomagi sheria zao muhindi anahesabu dakika 90 tu za ndani ya mchezo za ziadi kama extra huwa haesabii.
enyi kizaz msicho na imani kwa hali hy muhindi tapeli,, nawaambia kabla jua alijachomoza mtanisaliti kwa kuniita tapel na kumuacha muhindi ana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…