Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Ndo mna danganyana hivi!! Kwenye betting fuatilia team ndo uweke bet sio kubet kijinga hivo.

Ndoman wengi mnaliwa mnabet kimkumbo tu. Wengi hum sio watu wa betting mnafanya mambo ya tamaa na kukurupuka tu na code zinazowekwa.
Hujamuelewa,huyo ni msaniii,sasa anapigia debe wapigaji

Anashindwa kuelewa kwamba hao anaowasema hawachezi mpira wao

Shortly,ni la chain la Matapeli
 
Aston villa kanikosesha tilioni 100
🤣🤣Ngoja bac nitume screenshot nyie wabishi Sana...Kuna mkeka cjui wa naijeria Kuna mtu alipost una odds 26000 mi nikaweka unatimu ka 40 zimetiki ijumaa jumamosi by the tym psg anacheza zilikuwa zimebaki timu kumi ...ni wa direct huo kina Madrid ajax sporting walikuwepo.. asa cjui ubishi unasaidia Nini ...
 
Sijui ku bet lakini nitafuatilia matokeo ya mkeka wako mkuu.
 
betting inahitaji ujasiri sana,

imagine half time kulikua na
1. 1X odds 2.7
2. corner (home over 3.5 odds 2.3)
3. corner ( home +2.5 odds 2.8)


hizi zote zimetoa, na mpk half time city alikua na kona 4, liver 0......
 
Mkuu mimi mwenyewe sitapeliwi kizembe. Hiyo ni channel/chimbo nililolikuta huko mtandaoni. Na mimi kama mpambanaji sikusita kujiunga kwenye group lake huko telegram, tickets anazotoa mara nyingi ni fixed za correct score na huwa anaweka timu husika na kampuni ambayo hiyo mechi inapatikana kwasabu siyo kila kampuni huweka hizo mechi kwani mara nyingi huwa ni cup za watoto ambazo zinachezwa huko viwanja vya vumbi.

NB hauzi ticket, mechi anaweka free ukitaka unaifuata usipotaka unakausha, mimi siku zote nilikuwa nafuatilia tu ili kuusoma upepo tangu game inaanza hadi inaisha na matokeo yanakuja vilevile. Anyway nilikuja kuuliza kama kuna mdau yupo sambamba na hao jamaa, maana kuna wengine wanapiga mwizi kimyakimya.
Hujamuelewa,huyo ni msaniii,sasa anapigia debe wapigaji

Anashindwa kuelewa kwamba hao anaowasema hawachezi mpira wao

Shortly,ni la chain la Matapeli
 
Hii weekend imekua mbaya sana kwa wakamaria jmos kichapo leo tena jpili kichapo

Nimeliwa sana weekend hii, kipigo cha mbwa mwizi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…