Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 10,568
- 9,710
Utacheka NGWENAWANANGU HII GEMU YA SIMBA SC INA GG
Bado hatujasema mkuu mpaka tusemeeNorwich na mwenzako barnsley pumbavu zenu
Dalili ya mvuaMbona mapema mnoo Wadau 🤣🤣🤣🤣
Weekend ndio kwaanza imeanza
Twende na win or drawWakuu habari
Nilipata ndoto kama ya siku tatu nyuma
Ilikuwa ni mchezo wa simba vs watoto wa misri
Matokeo ya huo mchezo yalikuwa hiviii
4:1
si mbaya piaTwende na win or draw
Nimemsikiliza Mwaduke kwa umakini sana,,, naona ana make sense aisee!!!SIMBAaaaaaaaaaaaaaa
Solidarity foreeeeeeeeeeeeeverrrrrr
Tupo pamoja SIMBA mpaka watutoe roho ila tunao
Alafu kuna mwamba akaniambia tayari Simba wametoa damu ,,,, kuna ajali imechinja mashabiki wao!!!Nimemsikiliza Mwaduke kwa umakini sana,,, naona ana make sense aisee!!!
Simba ana 89% kupata matokeo
Kweli hamasa na uwekezaji ni vitu viwili tofauti,,, kwa hatua hizi kuanzia roboSimba 0-1 Al Ahly
Nimeomba goal first half ataninyima hela hawa benficaAngel Di Maria mpumbavu sanaaa anakosaje penalty bwege