Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Benfica vs Sporting niliweka over 1.5, halftime 0-0 nikawaza kucash out akili ikaniambia acha ubwege hizi timu kubwa ,waliporudi ndani ya dk 9 mara 1-1, gafla 2-2
 
Benfica vs Sporting niliweka over 1.5, halftime 0-0 nikawaza kucash out akili ikaniambia acha ubwege hizi timu kubwa ,waliporudi ndani ya dk 9 mara 1-1, gafla 2-2
Walikuwa wanacheza kwa kitegana mnoo
Hata Corners nyingi zimepatikana Second Half
Kila mmoja akifika kati anarudisha back pass anasubiria counter attack ila alipochomwa Moja tu ikaanza njoo nije
 
Wakuu naomba kujua Nini maana ya ( stv) Kwenye mechi Kwenye kampuni ya sportbetView attachment 2952845
Maana yake SPORTBETY TELEVISION

Ukiona alama Nyekundu ni kwamba Mechi hiyo utaiona live,na ikianza Ingiza kwenye Betting slip Yako kisha Click hicho kitufe chekundu then Mechi unaiona live ila ajipange na Bundle
Na Ukifungua basi subiria kidogo sometimes zinakuwa nzito kufunguka

ANGALIZO:- Zipo baadhi ya mechi zinaandikwa Stv ila hazionyeshwi
 
Shukrani mkuu
 
WAKALA WA DUNIA WA 1X BET.
Kwa wale ambao mnapata changamoto ya wakala, pichani hapo chini ni namba za wakala wa x bet professor Romano. Kuweka pesa na kutoa ni Bure kabisa na Kwa haraka.

Jisajili na 1 XBET Uanze Kubeti na Ushinde nasisi Kwa kubonyeza link hapo chini na kujaza promo code hapo chini.

Jisajili sasa [emoji117] bit.ly/3Pxdrau
Promo code[emoji117] MBACHOPHD
 
Wakuu msaada naomba namba ya helabet au nawapata vipi nkichat nao kwenye app hawajibu nlideposite Leo ila hela haijangia kwenye account
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…