Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Aiseee Man Uuuuuuu umenifanya niwashe SimπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Not much bad mkeka mmoja wa corner still alive

Ile mikeke 3 imechanika nilimpa Draw or away
Hizi injuries za wachezaji 8 wa Kikosi cha kwanza Man U kinatuangusha mno
 
Niache tu kubet yaani hata hii nimekosa


View attachment 2954039
Huko Uholanzi atleast PSV ila Ajax inaongoza kuchana

Halafu nakushauri tu Mdau mwenzangu
Buku( 1000) nikubwa sana ktk Maisha ya Sasa,yaani unapobet 1,000 at a stake Ili upate faida ya 789 don't think if there is seriousness

At least to the minimum target uanzie ku target 5000 kwa ku stake Buku .

Ni USHAURI tu Mdau,Ipe thamani Buku Yako,hizo target humu wanacheza watu mpaka Tsh:50 wengine hawazidi hata 200 ku stake
Sasa ujue thamani ya Elfu Yako ni kubwa mnoo
 
Kuna siku nimesema hiki kitu humu nikashambuliwa sana.

Yaani mtu ana risk 200+k kwa return ya chini ya 100k.

Anyway
 
kubet ni kubahatisha na Odds yoyote inatoa! 😎
 

Attachments

  • Screenshot_20240405-103026.png
    169.6 KB · Views: 5
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…