Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

56/60!!! nitajarib tena. niliwai kulipiga tren lote la mechi 60!
sema nilishamrudishia kilicho chake mhindi!
Hata hivyo hii ni betting burudan!
Betting biashara huwa kila siku ni timu 1 au 2 tu. odds 1.4 max.
Huwa natia 100k tu.
Mradi una faida ya 30k+ kila siku.
matumizi yangu ni 10k
Niko sambamba na mwenye IST ya mil 15 ya biashara!
March 2024 nimemaliza mwaka sijapoteza pambano.
Mtu akisema betting hailipi huwa nahis ni kubet kitamaa ya kubutua!
 
Rudia kidogo ufafanuzi wa -
(Hata hivyo hii ni betting burudan!
Betting biashara huwa kila siku ni timu 1 au 2 tu. odds 1.4 max.
Huwa natia 100k tu) nijifunze
 
hv apo draw/ away odd 1.53 afu handicap 0:1 away odd 1.56 🤔 akat ni kitu kile kile
 
Wakuu kwa unyenyekevu nakuja kwenu naombeni mbinu za kumpiga kanji hata kidogo, maana naliwa mwenzenu yaani kanji kanigeuza malaya wake ananifanya anavyotaka kila siku
Uñavoeka stake kubwa odds ndogo unajiwekea uwezekano mkubwa sana wa kula hii ndo njia rahisi ya kumla kanji Kuna madon wanaeka milion odd 1.10+ anapata laki ko mwenye nacho huongezewa kama we huez kustake Hela kubwa unahofia basi endelea kueka jero. Bet for your own risk and bet what you can afford to loose .NB the higher the risk the greater the return ko usishangae mtu anastake milion kwny odd 1.10+ apate faida ya laki apa amerisk ili apate mfano ww buku upate laki odds zako zitakuwa 100 lakin aliyeeka milion odd 1.10 tu ko apo utaona mwnyw uwezekano mkubwa wa kula ni yupi
 
kuna tofauti ya kubet kwenye odd ndogo, na kubet kwenye odd yenye value... uyo anaebet kwa milion 1 katika odd ya 1.10 kumbuka sio risk free hapo, anaweza kuliwa... na akiliwa milioni mpaka aje kuirudisha kupitia hiyo strategy yake ni mechi kumi na ningumu kuwin mfululizilo mech kumi hata kama ni odd ya 1.10
 
Mkuu wakati unamjibu mtu uwe unatumia akili, busara na lugha nzuri. Kumbuka hii thread ina ma'legends na wageni, sio kila mtu ni mtaalamu wa kubeti, wengine ndio wanaanza. Wewe hujawahi kuona mtu anauliza handcap ndio nini!!??

Tuendelee kuelimishana kiustaarabu kwa sababu kila kizazi kinaingia kwenye hii kazi. Na hao wauza odds mara nyingi wanawalenga wageni na wavivu wa kufanya uchambuzi.
 
Shida wengi mnawaza tu kwamba akiliwa sasa nkuulize ww kwann unabeti????? Sa unavopoteza hvo vijero jero vyako kla sku kwann? Kuna mechi unaona kabisa timu flani iña nguvu sana ya kushinda mfano man city unakuta ana probability 90%+ ya kushinda wenzako wanatia mpunga afu hawabetii kitamaa km ww
 
Afu uyo anayeeka milion usfkira kaenda kuikopa hyo Hela Yani ye kustake milion Haina tabu Kwa sababu ame afford ku lose hcho kiwango. shida ww unaona betting ni mchezo wa 50/50 kama vile kurusha sarafu bichwa au mwenge akat betting timu A Ina 80% to win na B 10% to win afu draw 10% ko Apa ww utarisk Hela Yako kwny 10%🤔??? Swala la mpira kudunda Huwa linatokea ndio lakini timu yenye nguvu ni iña nguvu tu sikuzote ndomana unakuta timu imeshinda mech 30 kwny ligi afu Kuna nyengne haijashinda kabisa mech ata Moja. Ko mtu anavostake milion kwny 1.10 odd means ana 90% probability ya kula na 10% kuliwa so think wisely
 
Mi Bora anikosoe mtu ambaye habeti lakini mtu naye anabet afu anaona wivu mtu kastake milion odd 1.10 afu yeye kastake buku odds 100 anaanza kusema oooh sijui umerisk milion upate laki ukiliwa itakuaje 🤔 sasa yy anastake apate laki afu kaeka buku odds 100 yupo na matumaini afu anamkandia higher staker
 
Najua kwny betting kuliwa kupo ata kama timu Ina 99% ya kushinda ndomana tunastake kistaarabu tunachomudu kupoteza. Tunatofautiana viwango mwengne kustake milion ni kawaida kwake anamudu kupoteza hyo million ndomana hajaeka 5 M koz hakuna 100% sure match
 
Kwa tunaobet football kibiashara naomba mkuballiane na wanaosema unaweza kubet mwaka bila kuliwa ila kwa faida ndogo!
mf ni aliyetaja mil 1 kwa odds 1.11 namwelewa.
Hii ni risk karibu na zero.
anayebisha nimpe screenshots za laki kwa odds 1.4 or less kwa siku na sijakosa mwaka.
 
alldbest0
 

Attachments

  • 1715251935092.jpg
    65 KB · Views: 6
Prediction today ⚽⚽

Molde vs Sarpsborg 08
FT over 2,5 goal

Wil vs Baden
FT over 2,5 goal

Iraklis 1908 vs anagenisi ka
FT over 2,5 goal

Al riffa vs Al ahli
FT over 2,5 goal
 
Mmeanza nahau zenu

We BET ndio utajua KAMARI ni nini unless uwe new comer, umeanza KuBET Juzi

Unakula ila kuliwa kazima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…