Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Kweli we jamaa ni mbunge au huwa unatupiga fix tu?
fix haitasaidia chochote kwangu, kwako ama kwa mwanainchi wa kawaida. muhimu zaidi, ili tusonge mbele na kushamiri kiuchumi, lazima tuchape kazi kwa bidii zaidi, bila kukata tamaa na kupendelea njia za mkato. hapana mafanikio rahisi ndrugu zangu

na mimi nawashukuru sana JF family kwa heshima ile mmenipatia siku zote. na saa zingine mzaha na matani ya hapa na pale, nafurahi sana kuchangamana na wanainchi wa mtatandao huu nchi nzima. maoni, mtazamo na changamoto wanazoibua humu jukwaani kwa niaba ya wanainchi zimenisaidia sana katika kazi zangu za siasa, kijamii na hata kiuchumi. Naamini wengi pia wamefahamu na kuelewa mambo mengi humu jukwaani
 
Mbunge wa
Gazeti refuuu hata million 1 huna hahahahah kelele kibao kumbe mfukoni hamna kitu jamii forums hii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Huna jipya kumbe mpiga kelele halafu choka mbaya🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
kuchoka ni sawa, ila sio unachoka kizembe zembe kama kumpelekea muhindi elfu2 yako, akiwa ameketi mezani amekunja nne. ndugu wanaichi sio vizuri kulazimisha kua maskini, tena unaomba na ushauri kabisa
 
kuchoka ni sawa, ila sio unachoka kizembe zembe kama kumpelekea muhindi elfu2 yako, akiwa ameketi mezani amekunja nne. ndugu wanaichi sio vizuri kulazimisha kua maskini, tena unaomba na ushauri kabisa
Huna Cha kunishauri Sasa wewe ambaye haubeti halafu choka mbaya utanishauri nini wakati Mimi nabet na Nina pesa yaani unapiga kelele hapa kumbe hata million 1 tu huna hahahahahahahahahahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mbunge wa

Gazeti refuuu hata million 1 huna hahahahah kelele kibao kumbe mfukoni hamna kitu jamii forums hii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
hii huwezi kijana, kama ni mvivu,

Ni lazima Neema na Baraka za Mungu ziambatane na kuandamana nawe kufanya haya, vinginevyo utababaika sana itakuboa sana, na mbaya zaidi mihemko itakua ndugu yako tu bila wasiwasi wowote
 
hii huwezi kijana, kama ni mvivu,

Ni lazima Neema na Baraka za Mungu ziambatane na kuandamana nawe kufanya haya, vinginevyo utababaika sana itakuboa sana, na mbaya zaidi mihemko itakua ndugu yako tu bila wasiwasi wowote
Mbunge Gani hata Million 1 Hana jamii forum hiii hahahahahahaha eti mbunge🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Onyesha million 1 tu hahaha yaani haubet halafu hata million 1 huna hii kali halafu unashauri watu wasibet 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
sina haja kijisifia kwamba nina pesa wakati ni za wanainchi....

one million si kitu ya kushindana mtu ili eti upate sifa, ni utoto wa kizamani. Ile kitu niko nayo ni kwaajili ya kazi ya wanainchi na sio ya mashindano ama kubeti
 
sina haja kijisifia kwamba nina pesa wakati ni za wanainchi....

one million si kitu ya kushindana mtu ili eti upate sifa, ni utoto wa kizamani. Ile kitu niko nayo ni kwaajili ya kazi ya wanainchi na sio ya mashindano ama kubeti
Tafuta pesa mzee 🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…