Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Ya supuuuuu hiyo kanji kashindwa kunidaka 🤣🤣🤣🤣
 

Attachments

  • Screenshot_20240603-100631.jpg
    340.2 KB · Views: 9
Wazee wenzangu wa mikeka kuna mwingine yeyote anashindwa kutumia akaunti yake ya PM BET kwa kuletewa ujumbe kuwa 'huwezi kutumia akaunti hii, wasiliana na utawala'.

Ni mwezi mmoja sasa nilideposit 10,000 kwenye akaunti hiyo ambayo ni mpya, na kila nikiwasiliana na watoa huduma kwa wateja wanasema niendelee kusubiri kwa kuwa akaunti ipo kwenye uhakiki.

Naomba kuuliza kama kuna mdau ameshawahi kupitia changamoto hii na ilichukua muda gani kutatuliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…