Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 10,568
- 9,710
Wakuu ivi voda visa card naweza kuweka 1xbet na kutoa pesa
Huu ni mda wakurusha kindege tu, wadau wengi ameamia huko wakisubiri ligi zirudiTukutane wa 8 euro wanazingua.
View attachment 3022197
wametengeneza hizi kulipia bidhaa mitandaoni tu na sio kupokea pesa.Wakuu ivi voda visa card naweza kuweka 1xbet na kutoa pesa
hizi kodi zilizopo Kenya kuanzia July 1 zitakuwa huku T
Asa ndio nini wanafanya kama hawataki watu wabeti si ni bora wafungie betting yenyewe kuliko kulundika kodi kila sehemuhizi kodi zilizopo Kenya kuanzia July 1 zitakuwa huku TanzaniaView attachment 3022479
Hii App gan mdau
Bora kukimbizana na kina romano tuhizi kodi zilizopo Kenya kuanzia July 1 zitakuwa huku TanzaniaView attachment 3022479