third eye chakra
JF-Expert Member
- Dec 27, 2023
- 713
- 1,745
HakikaWakuu kuna uwezekano wa kupata sure odd ya 1.3 kila siku?
Hamna kitu kama hicho acha kudanganya watu Kila siku update odd 1 .50 ungeshakua bakhresaZipo ila udhamilie kukaa chini kufanya kama kazi mimi naweza kukupa kila siku 1.50 ila kwamkataba maalumu.
Hakuna odds ya uhakika mkuu kila siku. Lost zipo pale pale hata iwe odds ya 1.01. Hata mimi naweza kukupa odds 2 daily na ukawa unashinda. Lakini lost zipo, utashinda siku mbili na utakosa siku mbili. Kwahiyo Odds ya uhakika kila siku haipo. Kupoteza kuko pale paleChukua namba hapo profile njoo whatsapp upewe kwamda wa siku3 bure.
Mzee nimeanza kubet 2015 danganya wanaoanza kubet Sasa hivi hamna odds ya uhakika hata iwe 1.02 ipo siku itachana tu Sasa wewe unajifanya unajua hapa eti odds 1.50 bila kuchana yaani ingekua hivyo wewe ungekua tajiri namba Moja duniani sababu hiyo odds ya 1.50 ni pesa tosha kama Kila siku inawin pigia hesabu kwa mwaka tu utakua na utajiri wa kiasi gani danganya wageni wa bettingChukua namba hapo profile njoo whatsapp upewe kwamda wa siku3 bure.
Hata 1.10 haipo.Wakuu kuna uwezekano wa kupata sure odd ya 1.3 kila siku?
Sema less Risk sure oddsWakuu kuna uwezekano wa kupata sure odd ya 1.3 kila siku?
TAPELI ktk ubora wake wa kujiongezaChukua namba hapo profile njoo whatsapp upewe kwamda wa siku3 bure.
Hakuna Sure Odds,ingekuwa hivyo Makampuni yasingekuwepoWakuu kuna uwezekano wa kupata sure odd ya 1.3 kila siku?
BetpawaMkuu hii app gani
Hakuna tusi jipya, wewe ni tabularasaShoga wewe Kodi ni asilimia 10% tu usijifanye mjuaji sana boya wewe tanzania Kodi ni asilimia 10%
Shoga weweHakuna tusi jipya, wewe ni tabularasa
Dah kweli tunatofautiana kimalezi na kimaadili. Kwani ilishindikana kumjibu tu kwa jibu la kistaarabu mpaka mwenzio umwambie hivyo? Hizi lugha jamani siyo poa hata kama hatufahamiani physicallyShoga wewe Kodi ni asilimia 10% tu usijifanye mjuaji sana boya wewe tanzania Kodi ni asilimia 10%
Soma juu yeye maneno aliyoniambiaDah kweli tunatofautiana kimalezi na kimaadili. Kwani ilishindikana kumjibu tu kwa jibu la kistaarabu mpaka mwenzio umwambie hivyo? Hizi lugha jamani siyo poa hata kama hatufahamiani physically
Hakuna tusi jipya, taburalasa endeleaShoga wewe
Oyaa wewe legend humu upo kitambooo FB tangunl 2017 unabishana na mtu amejiunga Fb juzi tu mwaka Jana?Hakuna tusi jipya, taburalasa endelea