David Harvey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,894
- 6,020
Akili kisoda hizo huwezi risk 600k kisa upate 10k.Huwezi kuwa na pesa kama huna akili wewe ambaye huna ndio huna akili mwenzio kashaingiza 10000 wewe tangu asubuhi umekula Bei gani
Wewe umekula kiasi gani Leo mbona kelele nyingi onyesha vitendoAkili kisoda hizo huwezi risk 600k kisa upate 10k.
kiujumla tutafute pesa tuache kulalamika mm kuna mdau kanionyesha mkeka wake nakumbuk aliwek 100k game moja tu alafu kala 125k na ni kawaida yake yaan game moja au mbili anawek mpunga mrefuStake laki 6 unapata elfu 10 hiyo akili au matope?
Hahaha Mimi pia nimemuambia atafute hela aisee 🤣🤣🤣🤣kiujumla tutafute pesa tuache kulalamika mm kuna mdau kanionyesha mkeka wake nakumbuk aliwek 100k game moja tu alafu kala 125k na ni kawaida yake yaan game moja au mbili anawek mpunga mrefu
Bora uyo kaweka 100k kapata profit 25k,uyu mwenzako kaweka 600k anatafuta profit ya 10kkiujumla tutafute pesa tuache kulalamika mm kuna mdau kanionyesha mkeka wake nakumbuk aliwek 100k game moja tu alafu kala 125k na ni kawaida yake yaan game moja au mbili anawek mpunga mrefu
mwache aendelee kupiga kelele watu wanasonga mbele unakuta mtu kwa mwaka anafanya kitu kikubwa either kununua kiwanja,kusomesha watoto ,kujenga n.k hiyo yote ni mipango na kuepusha tamaaHahaha Mimi pia nimemuambia atafute hela aisee 🤣🤣🤣🤣
yooo ni level tu mkuu kila mtu na uwezo na game anazoamini kwa % kubwaBora uyo kaweka 100k kapata profit 25k,uyu mwenzako kaweka 600k anatafuta profit ya 10k
Wewe umekula Bei gani Leo mzee mwezio kala 10k dakika 90 tu🤣🤣🤣🤣🤣Bora uyo kaweka 100k kapata profit 25k,uyu mwenzako kaweka 600k anatafuta profit ya 10k
Hii kauli siipendi kama huwezi nisaidia acha tu kwa amaniKwenye betting utaliwa mpaka ujambe,muamini madebe lidai aliposema ukiona mtu kala kwenye kubeti jua kwamba huko nyuma alishaliwa sana
Mwisho wa siku lazima hizo timu alizifanyia tathmini na sikubonyeza bonyeza tu, hiyo option ya no GG inafaa zaidi kwenye timu za America kusini hasa Brazil kuna ligue ndogo ndogo nyingi zinadondokea humo na hata wakiweka over 1.5 unakuta wanaweka odds 1.6.Kuna jambo nimeliona. 95% ya kila game utakayocheza wote tunacheza hivyo hivyo. Kuna fala m1 kawa mjanja.
Kuna siku alichukua odds kuanza 2.70 mpaka 3+ akacheza NO, btts.
Akaweka stake ya 1090kapiga 3789000/=
Siku iliyofuata akajitoa tena ufahamu akatembea mwendo ule ule btts akaweka NO. game 7 odds kama 1800. Stake 3000 akishinda anapata 5800000. Zikatoka game 5. Game 1 ipo dk ya 80 na matokeo 3-0. Mgeni anaongoza.
Game nyingine ilikuwa inaanza baadae kama saa limoja mbele. Akatishia kujitoa. Mwindi akampa 239000. Nikamshauri asitoke. Akajitoa.
Niwaambie kitu. Mkeka ukatoka. Akipishana na cash money 5800000.
Nini tufanye...ukijaribunsana ujanja ukakufelisha, basi test ujinga.
Kazi njema
Hii inamfaidisha zaidi Kwa anaeshare lini kuliko mpokeaji, hiyo sehemu yenyewe ya redeem haibonyezekiKwa watumiaji wa Tigo Pata GB za bure kwa kufuta maelekezo haya.
1. Ingia TigoPesa app (Kama hauna download play store)
2. Ingia Invite & Earn
3. Bonyeza Redeem
4. Weka hii code 2ZJVO8ZK
Baada ya hapo utapata 2GB na DK kibao bure kabisa!!
Deal DoneTotal odds 3
(Meridian bet)View attachment 3035499
Ewe mkamalia imetikiGuemes vs Guillermo GG odds. 2.80
Ewe mkamalia Usiache odds. Hio