Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Nime deposit hela 1xbet kupitia airtel money, paka saivi haija ingia ni masaa mawili yanaenda. Duh kuna usalama kweli?, au msaada nifanyaje?
 
Nime deposit hela 1xbet kupitia airtel money, paka saivi haija ingia ni masaa mawili yanaenda. Duh kuna usalama kweli?, au msaada nifanyaje?

Nime deposit hela 1xbet kupitia airtel money, paka saivi haija ingia ni masaa mawili yanaenda. Duh kuna usalama kweli?, au msaada nifanyaje?
Andika email kwenda info-sw@1xbet-team.com ambatanisha taarifa za akaunti yako ya 1xbet na namba ya simu bila kusahau screenshot ya muamala wako.

Pesa itaingia tu ingawa inaweza kuchelewa.
 
Sevila
 

Attachments

  • Screenshot_2024-08-17-01-01-56-27.png
    125.9 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…