blackice2100
JF-Expert Member
- May 11, 2020
- 2,188
- 2,897
Betting wanaopata faida ni wachache,,,, mechi zimekuwa na matokeo ya visigino!!Uzi umedorora kinoma
Ukicheki vijiweni watu wanaogopa kushea mikeka na tunaoshea mikeka mingi ni pangalala fulu kuunguza!!
Ila tuko tunachungulia kwanza maana timu zenyewe ndo hao kina man united na kina intermilan