Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Acha dharau wewe, et 1x2 na dc leta mkeka wako wa izo option unazokulaga na mm nilete mikekea ya 1x2, nyie ndo mnaobeti na jero jero mkija um maneno mengiii
 
Acha dharau wewe, et 1x2 na dc leta mkeka wako wa izo option unazokulaga na mm nilete mikekea ya 1x2, nyie ndo mnaobeti na jero jero mkija um maneno mengiii
Hajielewi huyo yaani anajifanya mjuaji kwenye betting Haina unafuu Kila option ni ngumu
 
Maana yake hela haijaenda mkuu. Kama wamesema deposit maana yake haijatumwa
Hivi hayo makampuni yenu ya kirusi mbona Kila siku mnalalamika kuweka na kutoa pesa tatizo nini maana haipit8 siku kampuni la kirusi halijalalalikiwa hapa inaonekana wababaishaji
 
Hajielewi huyo yaani anajifanya mjuaji kwenye betting betting Haina unafuu Kila option ni ngumu
Alaf mtu anaebeti na kula huwez kumkuta anapiga domo cjui option nyingi, cjui dc mara wakala, mtu aliekuwa serious na kubet huwa ana masoko yake maalu na ni haya haya ya kawaida hao wa maneno mengi ndo wale wanaokopi mikeka ya nigeria anajifanya na yy pro punter
 
Hamna kitu hapo hahahaha waee wa jero jero bila kupata odds 1000 hawezi kustake maana MTAJI jero🀣🀣🀣🀣🀣
 
Hivi hayo makampuni yenu ya kirusi mbona Kila siku mnalalamika kuweka na kutoa pesa tatizo nini maana haipit8 siku kampuni la kirusi halijalalalikiwa hapa inaonekana wababaishaji
Mkuu kuna sababu kadhaa zinaweza kupelekea. Kwenye Suala la mdau hapo juu inaonekana kabisa hela haijaenda kabisa kwenye kampuni ndiyo maana wamemwambia transaction rejected. Kwa hiyo ajaribu kuangalia kama ana salio la kutosha. Wangesema muamala umekamilika hapo ingekuwa kesi nyingine
 
Hamna kitu hapo hahahaha waee wa jero jero bila kupata odds 1000 hawezi kustake maana MTAJI jero🀣🀣🀣🀣🀣
Hahaaaaa, masoko yao sasa wanayoyafuata huko mixer kusumbuana na wakala amwekee 2500 utakuta ten minutes draw odds 1.09 πŸ˜‚
 
Kama wame reject inawezekana hauna salio la kutosha. Kama wamesema rejected maana yake haijaenda
sawa mkuu itabidi niwasiliane na wenyewe vodacom maana waliniambia muamala umeenda na salio lilibaki wamenionyesha ,au mkuu kuna masharti mengine kama unajisajili kwa mara ya kwanza?
 

BET OF THE DAY ON PARIPESA

Booking Code: XSHR3

Kama Huna Akaunti Ya PARIPESA, Jiunge Leo. Bonyeza Link Hii Hapa ChiniπŸ‘‡πŸ‘‡.

PariPesa

PariPesa

PROMO CODEπŸ‘‰ TIPS2424

Tumia Promo Code TIPS2424 wakati wa kujiunga upate bonus ya mpaka TZS 250000.
 

PLAY THIS MIDNIGHT GAME IT WILL BOOM ON PARIPESA ⚾⚾⚾.

Stake On PARIPESA. If you don't have PARIPESA account Register Here To Bet πŸ‘‡πŸ‘‡.

PariPesa

PariPesa

Booking Code: L12Z3

PROMO CODEπŸ‘‰πŸ‘‰ TIPS2424

STAKE FAST
 
βœ…βœ…βœ…πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ’―πŸ’―βœ…πŸ€‘πŸ€‘πŸ’°πŸ’°πŸ”₯πŸ”₯
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…