Wivu ni kitu kibaya sana,yaani Jamaa anatumia kila mbinu kumvuta sharti mwenzie lakini waapi,mkuu wewe komaa na sportbet huku kwa mrusi tuachie sisi. By the way hakuna mtu aliyeshikiwa panga kuwa lazima atumie kampuni la kirusi,asa sijajua huo wivu wewe umeutoa wapi?