Ligue gani lazima usemeWakuu nimejaribu kufuatilia the best option msimu huu ni hizi hapa
Corners over 5.5
Saves over 3.5
Yellow cards over 2.5
Hizi option zinatoa aisee jaribu kisha mlete mrejesho
NB Inapendeza sana kama mkeka ukisuka walao masaa 6-8 kabla ya game kuanza kwani kuna kuwa na odd kubwa kidogo, game zikianza tu wanaanza na makadirio ya juu
Daaah hukuivuta hiyo pesa?View attachment 3096856
Cashout hiyo imenona. Unaweza ku Cashout kama una wasiwasi juu ya Inter milan kushinda.
Niliivuta ila kwa kuchelewa. Cashout ikawa imeshuka sana mkuuDaaah hukuivuta hiyo pesa?
Ila game za weekend hii zimekuwa hazieleweki. Timu kubwa kadhaa zimezunguaInter siku hizi amerithi tabia ya Ac milan kudraw akiwa away
Ila game za weekend hii zimekuwa hazieleweki. Timu kubwa kadhaa zimezungua
Leo game zipo nyingi tu. Lazima tushinde leo hii. Code zitakujaHata leo ni siku Kiongozi.........angusha code tutembee wote maana naamini iko sikuโ โ โ ๐ฏ๐ฏ๐ฏ
Chief iv izi code zako ww mwenyewe unafuataga kweli maana ni ngumu kumeza๐MIDNYT DRW PLY SINGLE
BONYEZA UPATE SPORTBET CODE
Ni kweli mkuu, lakini yatupasa tusisahau kuwa betting ni uwekezaji ambao mwenye akili mmoja alikaa na kufikiria kwa kina, na kuona akianzisha huu mradi basi utamlipa sanaIla game za weekend hii zimekuwa hazieleweki. Timu kubwa kadhaa zimezungua
Kabisa mkuu. Ila na sisi tujitahidi kubet kwa malengo kuhakikisha inatulipa. Kila wiki hakikisha unapiga hesabu ya faida uliyo ingiza kupitia betting. Ikitokea kwa wiki una baki na mtaji wako wa betting ulio anza nao mwanzoni mwa wiki na faida imepatikana hata kama ni 100000 basi jua inakulipa.Ni kweli mkuu, lakini yatupasa tusisahau kuwa betting ni uwekezaji ambao mwenye akili mmoja alikaa na kufikiria kwa kina, na kuona akianzisha huu mradi basi utamlipa sana
Ha ha ha ha acha ukorofi.Chief iv izi code zako ww mwenyewe unafuataga kweli maana ni ngumu kumeza๐
Binafsi niseme tu namheahimu sana Pdidy na naheshimu sana jitihada zake..Ha ha ha ha acha ukorofi.
Mkuu nakukubali sana kwenye kusuka bahati mbaya spurs na arsenal wamatulaza njaa. Shusha vitu turuke navyo never give upE2E40F4 sportybet
๐Lazima ateme bungo Hongera sana, wote mnakunywa supu pamoja na kanji Asubuhi hii
Pamoja mkuu madini yataendelea kushukaMkuu nakukubali sana kwenye kusuka bahati mbaya spurs na arsenal wamatulaza njaa. Shusha vitu turuke navyo never give up
BOOOOOMmmmmmm๐๐๐๐๐