Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Hii mvua ni kama ina jibu, simba watashinda ila kwa kabao kamoja tu.
Uliza vizuri kumbukumbu
Simba siku hizi hana ham na MVUA

Uliza kilichomkuta MVUA iliponyesha

SIMBA hana uwezo wa kumfunga YOUNG AFRICANS,saana amepata Draw

Mpe Simba kisha tukutane Half time tu utapata Jibu
 
Wakuu grmu za leo uingereza weken pver 1.5 au home team over 0.5 ispokuwa man u
 
naomba mnifariji mtaji wajomba.... Sijastake naona kukaa Bora kujaribu bahati, nimetupia tu humu harafu ushinde harafu mniambie we hukuweka😆
 
orlando pirates ni timu la kifala sijapata kuona!.
hii timu inaingia rasmu kwenye blacklist, takataka kabisa
 
Yan team mara ya mwisho kufungwa nyumbani ni January af leo anataka kutingisha meza yenye vinywaji vya gharama.!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…