Hadi kwako mkuu?Arsenal lol!
Hapo ungempa ata hand cup ya 2+ bado inadunda, amelaza watu mabuti na sio viatu LeoI can't believe arsenal mpaka handicap imedunda daah 😣
Mkuu amenitia hasara huyu. Hivi mkuu swali la kawaida hivi Arsenal ungemkwepaje kwenye Mkeka kwa uwezo alionao? Katika akili ya kawaida ni ngumu sana kumpa Bournemouth ashinde au atoe draw. Utajikuta umempa mwenye uwezo ashinde au atoe draw ndiyo yanatokea haya ya Arsenal.Hadi kwako mkuu?
Basi tumkalie kamati Bwana Kanji
Ndo nilimpa hivyo kwenye treni langu lakini kaamua kulainisha makalio atelezeshewe vizuri daah 😣Hapo ungempa ata hand cup ya 2+ bado inadunda, amelaza watu mabuti na sio viatu Leo
Tatizo arsenal akishapataga red card ndo basi game inaishia hapoKufungwa hatukatai, ndiyo ufungwe goli mbili?
79B93BWakuu naombeni mkeka wa leo sport bet