Hata nguvu ya kustake sina kila mechi naona itachanaLeo nayo siku..
Ya jana yameshapita….
8C2AF8
Sportbet
Odds 126
Timu 19
Una roho ngumu sana kama had sasa bado haujacash out.Achomoe au asubiri!?
View attachment 3130511
Kwa mikeka hiyo lazima upigweAssno katembea na matreni hukuView attachment 3130076
Wamekufanyeje mkuu😂😂Helabet siyo KAMPUNI yakutumia
Mbona code umekataa mkuuView attachment 3130509
CHINA BASKETBALL ON BETWINNER 🏀🏀
Code: 2JA8P
Sajili Akaunti Mpya Betwinner Leo Kupitia Link Hizo Hapo Chini Upate TZS250000 Ya Kubetia👇.
Please Wait...
Please Wait...
Promo Code: TIPS2424
Tumia Promo Code TIPS2424 Upate Bonus Ya 200% Ukijisajili Na Kudeposit.
STAKE FAST 🔞🔞🔞.
Hili treni jana zimechana gemu tatu (3) Newcastle,, arsenal sijui na ujinga gani wa team 🚮,, niwaombe wakuu tujitahidi ku edit kadri tuwezavyo treni lolote likishushwa humu,, kumpasua kanji inawezekana kabisa 💪🏽079349 odds 300+,, pandeni tuondoke wanangu 🔥 😎View attachment 3129544
Hata nguvu ya kustake sina kila mechi naona itachana
Hivi unaweza kua na mkosi na kampuni flani?
Nahisi sportybet nina nuksi nao, hua nakosa pesa kwenye mazingira magumu sana kule...
Mbali na arsenal kuninyima 2mls jana tena nikiwa nimempa handcap ya 2, niliwahi kukosa 5mls kwa man city kupigwa...
Hii kampuni naipenda kwasababu ni easy to access lakini shida ni hiyo...
Hii ni nuksi au wenge langu tu?
Mbona inakubali mkuu. Ni Betwinner na siyo PARIPESA mkuu. Jaribu tena hii 2JA8PMbona code umekataa mkuu
😂😂😂😂Hivi unaweza kua na mkosi na kampuni flani?
Nahisi sportybet nina nuksi nao, hua nakosa pesa kwenye mazingira magumu sana kule...
Mbali na arsenal kuninyima 2mls jana tena nikiwa nimempa handcap ya 2, niliwahi kukosa 5mls kwa man city kupigwa...
Hii kampuni naipenda kwasababu ni easy to access lakini shida ni hiyo...
Hii ni nuksi au wenge langu tu?
Dah inafikirisha sana...😂😂😂😂
Mdau ni wenge LAKO tu
Maana Arsenal amechana ktk kampuni zooote,sijasikia kampuni yoyote inasema Arsenal kashinda
SPORTYBET is the best in accessibility and options
Sasa hii NDIO inafanya sometimes mtu kuwa na machaguo tata.
Leo pia ni siku
Uko sahihi, hicho ndio nakipitia huku sportybetNuksi mkuu.
Ila endelea tu kuna siku utafanikiwa .
Kama mm na Betpawa, nishakosa 1 Mill na 650k kwa timu moja tu kuchana,.
Sijaachana nayo ila situpii mikeka sana kule.
Betpawa sijawah kula zaid ya 100k.
Ila Sportybet nishakulaga 420k, na ndio hela kubwa kuwah kushinda tangu nianze kubet.
Ila hizi 100k+ sportybet zinanipaga mara nying .
Jaribu PARIPESAHivi unaweza kua na mkosi na kampuni flani?
Nahisi sportybet nina nuksi nao, hua nakosa pesa kwenye mazingira magumu sana kule...
Mbali na arsenal kuninyima 2mls jana tena nikiwa nimempa handcap ya 2, niliwahi kukosa 5mls kwa man city kupigwa...
Hii kampuni naipenda kwasababu ni easy to access lakini shida ni hiyo...
Hii ni nuksi au wenge langu tu?
Yeah paripesa nakula kula vipesa ila huko siweki pesa nyingi maana hawachelewi wale...Jaribu PARIPESA