Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

079349 odds 300+,, pandeni tuondoke wanangu 🔥 😎View attachment 3129544
Hili treni jana zimechana gemu tatu (3) Newcastle,, arsenal sijui na ujinga gani wa team 🚮,, niwaombe wakuu tujitahidi ku edit kadri tuwezavyo treni lolote likishushwa humu,, kumpasua kanji inawezekana kabisa 💪🏽
 
Acha tumsake na leo tena 💪🏽

E6828F2 odds 150+, pandeni tuondoke wanangu
booking_code_E6828F2.jpeg
 
Hivi unaweza kua na mkosi na kampuni flani?

Nahisi sportybet nina nuksi nao, hua nakosa pesa kwenye mazingira magumu sana kule...

Mbali na arsenal kuninyima 2mls jana tena nikiwa nimempa handcap ya 2, niliwahi kukosa 5mls kwa man city kupigwa...

Hii kampuni naipenda kwasababu ni easy to access lakini shida ni hiyo...

Hii ni nuksi au wenge langu tu?
 
Hivi unaweza kua na mkosi na kampuni flani?

Nahisi sportybet nina nuksi nao, hua nakosa pesa kwenye mazingira magumu sana kule...

Mbali na arsenal kuninyima 2mls jana tena nikiwa nimempa handcap ya 2, niliwahi kukosa 5mls kwa man city kupigwa...

Hii kampuni naipenda kwasababu ni easy to access lakini shida ni hiyo...

Hii ni nuksi au wenge langu tu?

Nuksi mkuu.
Ila endelea tu kuna siku utafanikiwa .

Kama mm na Betpawa, nishakosa 1 Mill na 650k kwa timu moja tu kuchana,.
Sijaachana nayo ila situpii mikeka sana kule.

Betpawa sijawah kula zaid ya 100k.

Ila Sportybet nishakulaga 420k, na ndio hela kubwa kuwah kushinda tangu nianze kubet.
Ila hizi 100k+ sportybet zinanipaga mara nying .
 
Hivi unaweza kua na mkosi na kampuni flani?

Nahisi sportybet nina nuksi nao, hua nakosa pesa kwenye mazingira magumu sana kule...

Mbali na arsenal kuninyima 2mls jana tena nikiwa nimempa handcap ya 2, niliwahi kukosa 5mls kwa man city kupigwa...

Hii kampuni naipenda kwasababu ni easy to access lakini shida ni hiyo...

Hii ni nuksi au wenge langu tu?
😂😂😂😂

Mdau ni wenge LAKO tu

Maana Arsenal amechana ktk kampuni zooote,sijasikia kampuni yoyote inasema Arsenal kashinda

SPORTYBET is the best in accessibility and options
Sasa hii NDIO inafanya sometimes mtu kuwa na machaguo tata.

Leo pia ni siku
 
-omh1cw.jpg

ACCUMULATOR OF THE DAY ON PARIPESA

Booking Code: HUT1Q

Jisajili PariPesa Kwenye Link Hizo Hapo Chini Na Promo Code Weka Neno TIPS2424 Upate Bonus 👇

PariPesa

PariPesa

Promo Code: TIPS2424

Tumia Promo Code TIPS2424 upate bonus ya 300,000 Ambayo Utaitumia Kwa Kubetia Leo .
 
😂😂😂😂

Mdau ni wenge LAKO tu

Maana Arsenal amechana ktk kampuni zooote,sijasikia kampuni yoyote inasema Arsenal kashinda

SPORTYBET is the best in accessibility and options
Sasa hii NDIO inafanya sometimes mtu kuwa na machaguo tata.

Leo pia ni siku
Dah inafikirisha sana...

Nakumbuka kuna kampuni iliitwa princess bet, nimekula sana pesa kule...

Na nilikuwa na instinct za kuwakwepa wahuni kule, ila sportybet naingia kwenye mtego kizembe kabisa...
 
Nuksi mkuu.
Ila endelea tu kuna siku utafanikiwa .

Kama mm na Betpawa, nishakosa 1 Mill na 650k kwa timu moja tu kuchana,.
Sijaachana nayo ila situpii mikeka sana kule.

Betpawa sijawah kula zaid ya 100k.

Ila Sportybet nishakulaga 420k, na ndio hela kubwa kuwah kushinda tangu nianze kubet.
Ila hizi 100k+ sportybet zinanipaga mara nying .
Uko sahihi, hicho ndio nakipitia huku sportybet
 
mi mbona hawa sportybet siwaelewi?????
kuna siku nilitandika mkeka vizuri tu. baadae nakuja kuuangalia unaendeleaje nikakuta wamenibadilishia timu kwenye ule mkeka...
jana tena nilitandika mkeka wa siku 3 wa over 0.5 tupu mechi zote cha ajabu usiku naangalia maendeleo ya mkeka nakuta mechi mbili za aseno na bayen waniekea under 0.5 na mkeka umechanika.
sasa hii kitaalamu imekaaje na kuna mtu ashawahi kuexperience hii kitu?????
Screenshot_2024-10-20-12-22-42-51.png
 
Hivi unaweza kua na mkosi na kampuni flani?

Nahisi sportybet nina nuksi nao, hua nakosa pesa kwenye mazingira magumu sana kule...

Mbali na arsenal kuninyima 2mls jana tena nikiwa nimempa handcap ya 2, niliwahi kukosa 5mls kwa man city kupigwa...

Hii kampuni naipenda kwasababu ni easy to access lakini shida ni hiyo...

Hii ni nuksi au wenge langu tu?
Jaribu PARIPESA
 
Back
Top Bottom