Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

hizi AI hazifai kuzitumia kubet.
AI hafai kumtumia kubet.jpg
 
Ila kubet ni noma sana ... Yaani nimechagua sare ndani ya dakika 10 za mwanzo ..... Kasimpasa mapemaaaa dakika ya kwanza tu kaweka aseeee.....
Mimi naanami kubeti mechi za vilabu ni ngumu, kuliko, timu za taifa.
. Kila mechi mechi za kimashindano za timu za Taifa Na Won.
 
Kwa yeyote aliyewahi kukutana na shida ya kuwithdraw kutoka Betway naomba kujua alifanyaje. Nimewithdraw ila sijapokea pesa na kwenye live chat zao hata hawajibu
 
Ulistake ngapi na uka cash ngap
Nilitake laki nika cashout elfu 22 ilikuwa nishinde 217k na kwa ufupi mkeka umewin

Lakini hiyo 22 niliocashout nikabet tena

Na sasa nasubiria inter ashinde au adroo ili nirudishe stake yangu na faida kidogo
 

Attachments

  • Screenshot_20241020_230711_SportyBet.jpg
    Screenshot_20241020_230711_SportyBet.jpg
    165.1 KB · Views: 2
  • Screenshot_20241020_230455_SportyBet.jpg
    Screenshot_20241020_230455_SportyBet.jpg
    159.5 KB · Views: 2
Back
Top Bottom