The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,880
- 4,830
Usitoe mkuu, niko nacheki gemu hapa hawqwez chana mkeka .Wakuu nikaze hadi mwisho au nichukue changu
Inatoa hioHii naisubiri maana naiona inakuja kabisa yaani
Dude nalisubiriHii naisubiri maana naiona inakuja kabisa yaani
Hyo 2-2 2>5+ hyo ni triple bet 2-2 wa ugenini aongoze kipindi cha kwanza na meisho wa mechi ashinde 2> kipindi cha pili ndo kiwe na magoli mengi then 5+ jumla ya magoli katika hyo mechi yaanzie jumla 5 option mojawapo ya hzo tatu ikitokea umewinView attachment 3131249
Anaelewa hili soko kampuni ni meridian bet please explain this..
Hyo 2-2 2>5+ hyo ni triple bet 2-2 wa ugenini aongoze kipindi cha kwanza na meisho wa mechi ashinde 2> kipindi cha pili ndo kiwe na magoli mengi then 5+ jumla ya magoli katika hyo mechi yaanzie jumla 5 option mojawapo ya hzo tatu ikitokea umewinView attachment 3131249
Anaelewa hili soko kampuni ni meridian bet please explain this..
kwani ule kwanza aliweka double chance au..mm sijauonaIkichana itamuuma sana hii ataona bora angecash out maana cashout ni kubwa kuliko hiyo ya palace win, ingekua mimi ningestake 500k au 700k atleast ziendane kidogo, namuombea utiki ule wa kwanza
π₯π₯ππππππSafiiiii
B7FA24Wakuu mpo kimya sana as if hamjui ofisi leo znafunguliwa saa 1 dk 45