Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mkuu uwe unatuma hivi kabla ya mkeka kutiki iii tuone machaguo yako, sie wenye sportbety na betpawa tufate.

Hatuwezi wote kuwa paripesa
 
huyu inter wadau amebaki yeye kwenye mkeka wangu 0-0 nkeshi auti
Cash out kabla haijafungwa

Maana hana Corner hata Moja wenzie ana Corner 5

Mwenzie ana totally Shorts 14 yeye ana 3 tu

Mpira una dunda ila Inter analinda Sana
Sema uzoeafu wa Inter Milan ndio unaweza kuibeba

Au subiria Dk 15 za kipindi cha kwanza uone uelekeo ila CASHOUT itashuka,na akipigwa NDIO kabisaaaaaa 🤣🤣🤣🤣

Ufupi CASHOUT uwe salama maana inter yupo away,akifungua Sawa ila sometimes Linda mtaji wako
 


Inter kaacha watu nje sababu ya Juve weekend
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…