Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 10,568
- 9,710
Sasa si ndo ulete code kaka tusaidiane kula za KanjiUEFA:-
Ukikuta Corners over 6?5 pita nayoooo zimenitoa saaaana
Pia ukikuta bookings over 2.5 pita nayoooo,pia zimenitoa saaana
Mwanzo waliweka nyingi baada ya kuwa zinamtoa wakapunguza matches
Leo nimeona matches mbili Zina corners over 6.5
Pia match Moja ina bookings over 2.5
Umeliwa kichwa nini?Ila Betting ngumu sana.
Dah!
Kote naona Sawa ila Besiktas mhhhOdds 3... Nataka niruke naye mwehu huyu ...View attachment 3134293
Umeliwa kichwa nini?
Mda mwingine betia magoli tuBado nina mikeka mitatu inapumua,
Ila kuna mmoja Pyramids alitaka kuuchana.
Nilimpa ushind au draw.
Ila dk 90 naona 2-2.
Ila alitanguliwa 2-1 dk 84 hv.
Aaagh nikammind kinoma
Kimbia mzei hatoiMan u apa anatoa au nikimbie tuuView attachment 3133954
Watu kibao wameweka mikeka Yao wakiamini Leo hii mechi ni zaidi ya Goli 2.5 lakini Kwa Hali ilivyo hadi dakika 90 itakuwa nyau nyau!Wazeee wa Frankfult first half
Sijabet jana wala leo ila ningebet najua ningempa Frankfurt goli mbili na mkeka ungeenda na majiWatu kibao wameweka mikeka Yao wakiamini Leo hii mechi ni zaidi ya Goli 2.5 lakini Kwa Hali ilivyo hadi dakika 90 itakuwa nyau nyau!
Msenge kasepa na mikeka yangu yote!Huyu Frankfurt wa kukosa goli mbili kweli?