Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Kwanguvu kuu ya asili jana vihela vya vocha tumepata hivo.
Hii ni normal tuu.upo mwingine nimrefu nimeshindwa kuuchukua picha vizuri.
 

Attachments

  • Screenshot_20241025-205955.png
    Screenshot_20241025-205955.png
    665.4 KB · Views: 5
Al nasri ni kucheza na magoli tu, atatuua huyu kwa direct win
Mkuu kuna siku nimempa FT watoe over 1.5 wakatoa moja, ile siku Celtic kadraw nilimpa ashinde wao wakatoa over 3.5 ,na ukimpa over 1.5 anatoa under 1.5

Betting haitabiriki mkuu
 
Mkuu game zinakuwa nyingi hivyo hazitaonekana zote. Jisajili PARIPESA ili uwe una load code zinazowekwa. Jisajili Hapa[emoji117] PariPesa

Promo Code Weka Neno TIPS2424
Sawa chief next time

Ila huwa naona events / games zako ni 2 hadi 4 sidhan kma ukiscreenshot hata mara 2 utashindwa kutuma huku
 
Hii tena ilikua hela ya vocha jana huu mkeka nimrefu nimeshindwa kuuchukua wote kwa camera.
 

Attachments

  • Screenshot_20241025-211250.png
    Screenshot_20241025-211250.png
    783.1 KB · Views: 2
Back
Top Bottom