third eye chakra
JF-Expert Member
- Dec 27, 2023
- 713
- 1,745
NDIO Betting MdauHuyu Reipzig vipi leo
Moja ya ligi ya kipumbavu ni hii seria Akila siku humu watu wanapiga kelele tusibetie timu za Italia, tutalia. nimejichanganya nimeibetia Napoli ishinde. mpaka sasa bado 0-0
Huyu nilikosea nikampa handicap ya goli moja nikijua nimeweka full time kumbe nimeweka 1st half kasepa na mkeka wangu wa kimkakatiHuyu Reipzig vipi leo
Huko champion ship Kuna Kuna ma p Didi mawili nimeyaomba Kona 8 ft Cha ajabu yamefungana jml ya magoli 6 Kona 2 Kila kipindi Kona 1 na ndiyo yaliyochanaNikibetia tena timu za Championship mniite Asha Boko
Mkuu Manchester City Kaharibu ShereheBravo
Huenda ulifanya machaguo siyo mazuri mkuu, corner zimetoka sana kwenye hiyo leagueHuko champion ship Kuna Kuna ma p Didi mawili nimeyaomba Kona 8 ft Cha ajabu yamefungana jml ya magoli 6 Kona 2 Kila kipindi Kona 1 na ndiyo yaliyochana