Mkuu upepo haujawa Sawa kuanzia weekend iliyopita ila kuanzia leo na amini boom zitaanza mkuuMkuu Nakuombea kwa Mungu ushinde leo ,
BOOOM sizion sikuhizi
Duuuh aisee ila huwa una stake mzigo mwingi sana kwa Iyo kanji ameulamba wkiendMkuu upepo haujawa Sawa kuanzia weekend iliyopita ila kuanzia leo na amini boom zitaanza mkuu
NDIO mtego,anataka kuona Jinsi ulivyo muoga Ili akuhamishe kwenye Reli
Hii imepita bila kupingwa😊93C4B2D. Pesa hiyo wakuu.....sportbet
Code inagoma mkuuKwa wale wa Spotspesa game za leo na kesho
GEXXDO
Winning probability 95%
Hiyo ya mwisho ni herufi sio nambaCode inagoma mkuu
Tuma upya au screenshot
Tumieni Betwinner, mzigo wako unaupata ndani ya dk 1 na option zote za 1xbet unazipata!!Nimewithdraw Paripesa mpaka Leo siku ya one pesa haijaingia kwenye simu yangu kwenye akaunti ya Paripesa imetoka. Nikiwasiliana na huduma kwa wateja hakuna majibu ya kuridhisha. Msaada tafadhali anayejua njia ya kufanyanipate pesa yangu.
Kabla ya kubet lazima ufanye research ya kampuni husika kuanzia mtaji wao..Betting nyingi ukishinda kuanzia milioni 15,000,000 kupata hela mtihani unaweza kuzungushwa mpaka uchoke au wanaweza futa hata mkeka..kuna jamaa yangu alishinda jackpot ya kampuni moja hivi na wakampigia simu watamtumia milioni 30,000,000 akatumiwa milioni 3,000,000 kwenye akaunti..kuwa makini una state kampuni gani hasa hela ukiweka kubwaTumieni Betwinner, mzigo wako unaupata ndani ya dk 1 na option zote za 1xbet unazipata!!
Paripesa mtapigwa sana
Daaah kaka jana nimesuka mkeka wa team 8 hii ikiwemo ,nliwapa over o.5 ,peke yake ndio amechanq imeniuma sana
Wamesajiliwa bongo?Tumieni Betwinner, mzigo wako unaupata ndani ya dk 1 na option zote za 1xbet unazipata!!
Paripesa mtapigwa sana
Jamaa wana app nzuri sana, nimedownload hapa ila installation haijawa complete hawatuki confirmation codeTumieni Betwinner, mzigo wako unaupata ndani ya dk 1 na option zote za 1xbet unazipata!!
Paripesa mtapigwa sana
Chukua 30k igawe mara tatu weka home, away na draw hapo utapoteza 20k kwa sababu lazima upate option Moja lakini hiyo 20k unarudi.
Ni kweli app yao ipo vizuri, njia za kuweka pesa zipo ila nikiweka kiasi hairespondDaaah kaka jana nimesuka mkeka wa team 8 hii ikiwemo ,nliwapa over o.5 ,p
Jamaa wana app nzuri sana, nimedownload hapa ila installation haijawa complete hawatuki confirmation code
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
eke yake ndio amechanq imeniuma sana