Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Hiyo pesa kuipata hadi umuone wakala wa selcom ukiwa na hiyo msg
 
Mkuu kama ulijisajilia Halotel Hakikisha Una Login Kwa Kutumia Hiyo Laini Ya Halotel au ID. Huwezi kutoa hela Kupitia voda wakati ID inasoma ulifungulia HALOTEL.
 
Hiyo pesa kuipata hadi umuone wakala wa selcom ukiwa na hiyo msg
 
Reactions: Ser
Mkuu kama ulijisajilia Halotel Hakikisha Una Login Kwa Kutumia Hiyo Laini Ya Halotel au ID. Huwezi kutoa hela Kupitia voda wakati ID inasoma ulifungulia HALOTEL.
Hiyo pesa kuipata hadi umuone wakala wa selcom ukiwa na hiyo msg
Ila yeye amesema alisajilia Halotel, halafu anasema tena anahamisha kwenda M-Pesa.
 
Man city oyeee,, man city saaaafi?? Man city saaaaaaaaaaafiii????
 
Hiyo pesa kuipata hadi umuone wakala wa selcom ukiwa na hiyo msg
 
hiyo process nimefanya mkuu na hela nimeitoa kutoka kwenye account ya helabet sas shida ni kuitoa ile hela kwenda kwenye laini maana t
Ukibonyeza Withdraw, itakuja list ya mitandao. Chagua mtandao uliojisajilia. Utaingiza kiasi cha pesa kisha uta confirm
Walinidirect kwamb nitumie mtandao niliotumia ku deposit ambao ni voda ila nilijisajili kutumia halotel shida kuhamish ile hela kutoka selcom kwenda
Hiyo pesa kuipata hadi umuone wakala wa selcom ukiwa na hiyo msg
daa hapo tatizo
 
hiyo process nimefanya mkuu na hela nimeitoa kutoka kwenye account ya helabet sas shida ni kuitoa ile hela kwenda kwenye laini maana t
Ukibonyeza Withdraw, itakuja list ya mitandao. Chagua mtandao uliojisajilia. Utaingiza kiasi cha pesa kisha uta confirm
Walinidirect kwamb nitumie mtandao niliotumia ku deposit ambao ni voda ila nilijisajili kutumia halotel shida kuhamish ile hela kutoka selcom kwenda
Hiyo pesa kuipata hadi umuone wakala wa selcom ukiwa na hiyo msg
daa
Mkuu kama ulijisajilia Halotel Hakikisha Una Login Kwa Kutumia Hiyo Laini Ya Halotel au ID. Huwezi kutoa hela Kupitia voda wakati ID inasoma ulifungulia HALOTEL.

Ila yeye amesema alisajilia Halotel, halafu anasema tena anahamisha kwenda M-Pesa.
so far hiyo hela imepotea endapo nimekosa wakala wa selcom
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…