Mechi haitakua rahisi guinea nao wanataka kufuzu na wana lile jamaa linafunga hatari so changa karata zako vizuri kabla hujatia mzigoWakubwa game ya taifa stars kesho dhidi ya Guinea naona ina odds tamu na zinapanda tu , sahv ni 3.25... nataka nitie 100k, Je mlioitazama hiyo Guinea wapo vzr? sijabahatika kuwaona mechi ya juzi dhidi ya DR Congo.
AirtelMoney, niliweka hela tokea juzi, bado ipo rejected, vipi wamechoka hawa Paripesa.View attachment 3155539
NBA 🏀𝐎𝐃𝐃𝐒 𝐎𝐍 𝐏𝐀𝐑𝐈𝐏𝐄𝐒𝐀⚽
Code: 6NBNN
Bet PariPesa
Jisajili Hapa👉 cutt.ly/hwKXFbXz
cutt.ly/hwKXFbXz
Promo Code: TIPS2424
Promo Code Weka Neno TIPS2424 Upate Bonus Ya Asilimia 200.
Ujumbe unakuja kuwa rejected?AirtelMoney, niliweka hela tokea juzi, bado ipo rejected, vipi wamechoka hawa Paripesa.
Ujumbe unakuja kuwa rejected?
Ujumbe unakuja kuwa rejected?
Daaah!!! Huyu mshenzinacha kabisa,,,ila ngozi nyeusi bhana. Yaaani unapanga matokeo unaonekana wazi kabisaa, sijui CAF kama hawata take action dhidi yao.😡Nigeria win 😂😂😂😂😂
Tia hela hapa mzee.
Uhakika
Hao wameshafuzu wanaweza hata kupigwa kama Kina Nigeria JanaLeo Kanji ataumia wallah.
Timu kubwa ziko na vibonde.
Ila usitake matamaa, odds zisizidi 5.
NB :
Game ya Cameroon vs Zimbabwe
Na Egypt vs Botswana nadhan sio za Direct win.
Ni Mauritania vs cape verdeMechi Za Afcon nyingi leo ni kukamilisha ratiba timu zinazohitaji matokeo ni mechi 3 tu
MAURITANIA VS BOTSWANA
MOZAMBIQUE VS GUINEA BISSAU
TANZANIA VS GUINEA
KUWA MAKINI
Rwanda kashachezaNi Mauritania vs cape verde
Egypt vs Botswana hapa ni egypt pekee aliyefuzu hao wote watatu yoyote anafuzu huku Rwanda akihitaji kupata sare tu mbele ua mafarao
Rwanda keshatolewa mzee Egypty anacheza na BotswanaNi Mauritania vs cape verde
Egypt vs Botswana hapa ni egypt pekee aliyefuzu hao wote watatu yoyote anafuzu huku Rwanda akihitaji kupata sare tu mbele ua mafarao