The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,880
- 4,830
FDEBD2 odds 4 za leo sportybet
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaelewa fafanua kidogoWaungwana naona hawa jamaa wanatuonea sana huruma huenda wameamua kutudhamini, naona wamesajiliwa na pia hawana kodi. LEONBETView attachment 3158368
Aston Villa mechi 10 zilizopita ameshinda 4 sare 3 kafungwa 3. Ana wastani wa kufunga magoli 1.5 mashuti yaliyolenga goli 4.8 ktk majaribio 12.Wakuu kuna uwezwkano wa aston villa kupata goal moja dhidi ya crystal hapo kesjokutwa?
Mpe hana shidaWakuu Al nassr direct win atatoboa kweli
Uwezekano upoWakuu kuna uwezwkano wa aston villa kupata goal moja dhidi ya crystal hapo kesjokutwa?
Sawq mkuu kuna mkeka nimempa home team over 0.5 sitak kumpa mazima maana mpira unamatokeo ya kustaajabisha sanaAston Villa mechi 10 zilizopita ameshinda 4 sare 3 kafungwa 3. Ana wastani wa kufunga magoli 1.5 mashuti yaliyolenga goli 4.8 ktk majaribio 12.
Crystal Palace mechi zake 10 za mwisho ameshinda 1 sare 5 kafungwa 4. Ana wastani wa kuruhusu goli 1.3 wanapigiwa mashuti 4 ktk majaribio 13.
Utabiri wangu Aston Villa atashinda kwa zaidi ya goli moja pamoja na Ollie Watkins kufunga goli. (Aston Villa to win by over 1.5 + Ollie Watkins to score)
Hapana mpe 1X au over 0.5Wakuu Al nassr direct win atatoboa kweli
Yan Pamba amfunge simba???Wakuu sio mbaya gemu ya pamba vs simba
Mpe ashinde pamba odds 13 tia hata 1000 au jro ukishindwa weka 1X
Iwe gemu moja tu
Kwani ilikuwaje kwa tabora kuna mtu aliamin yanga anawza pigwa na tabora.Yan Pamba amfunge simba???
Kweli mpira unadunda ila sio kwenye matope
Kwani ilikuwaje kwa tabora kuna mtu aliamin yanga anawza pigwa na tabora.
Kuna mtu aliweza amini arsenal angepigwa na bornemouth,
Au city apigwe na bornemouth
Barca apigwe na osasuna.
Mkuu hiyo mimetoa kama altenative