Kwa kweli mechi imeuma sana. Celta Vigo wametibua Jumapili yanguAiseeeee
Barca hadi 82 anaongoza 2
Dakika ya 84 anapata red card
Dakika za 84 na 86 Alves wanachomoa bao zote mbili
BET LOST
🤭🤭🤭🤭🤭😅Aiseeeee
Barca hadi 82 anaongoza 2
Dakika ya 84 anapata red card
Dakika za 84 na 86 Alves wanachomoa bao zote mbili
BET LOST
Celtic walishinda ushindi mzuri sana, aliyenishangaza na Barcelona kibaya zaidi ameongoza goli 2-0 mpaka dakika ya 83.Celtic atakuthomba,niamini
Mimi ningekuwa kocha ,,, kwenye timu yangu wachezaji wapaka poda, wasuka nywele na ma modo,,, naondoa zote takatakaCeltic walishinda ushindi mzuri sana, aliyenishangaza na Barcelona kibaya zaidi ameongoza goli 2-0 mpaka dakika ya 83.
Mbona wewooooMan City mbona wewo[emoji24][emoji24]
Tabia hii alikua nayo leverkusen ila jana kapambana kachomoa gori mbili kapata ushindi wa goli 5 kwa 2Daaah city kweli mara ya 4 mfululizo unaniua, sasa mahaba naweka pembeni ntakua nakuruka.
Imagine tren langu la team 20, Odds 14 city kaangusha.View attachment 3159916View attachment 3159917View attachment 3159918View attachment 3159919View attachment 3159920View attachment 3159921
Yani nilichungulia dakika ya 68 nikakuta anaongoza nikalala naamka nashangaa lost dahAiseeeee
Barca hadi 82 anaongoza 2
Dakika ya 84 anapata red card
Dakika za 84 na 86 Alves wanachomoa bao zote mbili
BET LOST
Lipuka wako vizuriWazee naombeni ushauri,nafikiria kuweka direct win kwa Liverpool,Madrid,na ajax
B0NVJDG betpawaWakuu naombeni odds3 za sportbet nijilipue au code ya timu chache sportbet au betpawa
Tia hata mili O hapo uhakika.Wazee naombeni ushauri,nafikiria kuweka direct win kwa Liverpool,Madrid,na ajax
Nenda kwa mwamposa hilo ndio suluhisho kanjibai ataombaa poo.Aisee Jana Leipzig asingezingua nilikua nampapasa mhindi 12.3m.!! Ndo naamka apa naangalia mkeka nakuta kazingua yeye tu tena double chance..!!!!!! Kuna mwingine Fulham pekee ndo kazingua alikua anapasuka 7.3m nayeye nilimpa double chance.
Mganga wa kanji sio tapeli wakuu, tukutane wiki ijayo maana mechi za leo zimekaa kimtego sana