Huwa unaangalia taarifa rasmi za timu kuelekea mchezo husika? Majeruhi, morali au nani kasimamishwa? Huwa vinaathiri sana matokeo ya mchezo. Stuttgart leo wachezaji 6 wa kikosi cha kwanza hawakusafiri na timu Undav, Lewing, Al-Dakhil wote hawa hawakuwepo hata kiungo wao mkabaji Stiller alicheza na maumivu.baada ya simba kuchana, nikarebet, Stuttgart nilimpa dc nikaacha simu mahali,
saizi nachukua simu naona kala 5, imebidi nicheke tu,
btw, hii UCL ya msimu huu kuna timu zinapewa visago vya ajabu sana,
Umetoa point nztoHuwa unaangalia taarifa rasmi za timu kuelekea mchezo husika? Majeruhi, morali au nani kasimamishwa? Huwa vinaathiri sana matokeo ya mchezo. Stuttgart leo wachezaji 6 wa kikosi cha kwanza hawakusafiri na timu Undav, Lewing, Al-Dakhil wote hawa hawakuwepo hata kiungo wao mkabaji Stiller alicheza na maumivu.
Wewe jamaa Una machale sana Girona kwisha naona na Celtic naye anaelekea kugegedwa hukoCeltic na Girona wanaweza kubahatisha droo leo?
Nimewaepuka hao lakini naona kifo changu kiko kwa PsVWewe jamaa Una machale sana Girona kwisha naona na Celtic naye anaelekea kugegedwa huko
Mbona hyo promocofr inagomaView attachment 3163451
Code: LN5QU
Tumia Promo Code ππππππππ Upate Bonus Ya πππ,πππ Ukijisajili Na Kudeposit.
Jisajili PariPesa Hapa π
https://cutt.ly/hwKXFbXz
https://cutt.ly/hwKXFbXz
Promo Code: ππππππππ
πΉπΌπ ππ½ πβπΌ π»πΈπ
Dah yaani UEFA umekuwa changamoto sana timu hazielewekiNimewaepuka hao lakini naona kifo changu kiko kwa PsV
Promo Code unajaza wakati unajisajili, kama ushasajili akaunti haiwezi kukubali labda ufungue Akaunti nyingine, kisha sehemu ya promo code utaweka Neno TIPS2424Mbona hyo promocofr inagoma
Apo vipi πPsv ameshikilia me
mkekawangu sidhani kama ataweza kufanya comeback
PSV kashinda mkuu 3-2Psv ameshikilia me
mkekawangu sidhani kama ataweza kufanya comeback
Toka ametokq PSG nyota sijui imeisha hakuna kituIla mbape π
Hii option inayotoa nafasi ya kuleta uwiano wa mchezo kwa kuruhusu timu mojawapo ifungwe au iongoze kabla mchezo haujaanza. Technically, ufanyaji kazi wake unafanana na double chance ila unakupa option to move the line to the best odds as possible.Wakuu habari. Naomba kuuliza, hivi handcap ni nini au ina maana gani
Nimeona Asubuhi maana ilibidi nilale mambo saaafi mkeka umetickPSV kashinda mkuu 3-2
Pole sanaJamani imeniuma kweli yaani nilikua nimebet mechi mbili Dotimund na PSV nilikua nmeweka 100,000 nilikua nakula 215,000 mpaka dakika ya 70 PSV kafungwa 2 ikabidi niangalie cashout nikakuta inasoma 30,000 ikabidi nipite nayo nika lala nimeamka nakuta PSV kachomoa goli zote mbili nakuongeza moja yaani maumivu niliyonayo hayaelezeki.View attachment 3163747