Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

umetoa point nzito sana mkuu, ila niwe mkweli kuchambua sana games nilishaacha maana niliona haisaidii...... but hii point uliyo-raise hapa ni ya msingi sana na sikuzingatia,

asante kwa kunikumbusha!
 
😭😭😭😭😭
 

Roll Over Day 1 BOOOOOOOMMMM ✅✅✅✅✅💯💯💯💯✅✅🤑🤑🤑

160000
💰, Lengo ni kutengeneza 4.2 Million Ndani Ya Siku 8

Tumia Promo Code 𝐓𝐈𝐏𝐒𝟐𝟒𝟐𝟒 Upate Bonus Ya 300,000 Ukideposit.

Jisajili PariPesa Hapa 👇

https://cutt.ly/hwKXFbXz

https://cutt.ly/hwKXFbXz

Promo Code: TIPS2424
 
Pole sana cash out muda mwingine Ina mambo sana, mfano ungesema uache labda wakatoka 2-2 ft
 
Na Mimi hivyo hivyo Leo siku ya tatu, kwenye stutus Kuna deshi tu nashindwa kuwaelewa Kuna njia ya kuwasiliana nao ukiacha na zile za kwenye app yaani namba za simu ukaongea nao
 
Promo Code unajaza wakati unajisajili, kama ushasajili akaunti haiwezi kukubali labda ufungue Akaunti nyingine, kisha sehemu ya promo code utaweka Neno TIPS2424
mkuu una maana gani kumwambia labda asajili akaunti nyingine au ni kwa ajili ya yako ww ili tu upate kamisheni yako kwa hiyo promo code yako....kwani hizi kampuni za kibongo tangu lini zikaruhusu mteja kuwa na akaunti mbili.?
 
mkuu una maana gani kumwambia labda asajili akaunti nyingine au ni kwa ajili ya yako ww ili tu upate kamisheni yako kwa hiyo promo code yako....kwani hizi kampuni za kibongo tangu lini zikaruhusu mteja kuwa na akaunti mbili.?
Namaanisha Promo Code inatakiwa ijazwe mwanzo Wakati wa kujiunga, Promo Code hazijazwi kama tayari ushajiunga. Pia yeye aliniuliza mbona Promo Code haifanyi kazi, ndiyo nikawa Nampa majibu
 
Hebu Tuangalie hapa na tufanye Editing tutoke na kitu bora

AAE7ED
 

Attachments

  • share_1732779915507.jpeg
    129.7 KB · Views: 4
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…