Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Watu ni bahati zao noma sana
View attachment 3169334
Huyu jamaa nadhani alipo place bet alisinzia alipokuja kushtuka kindege kipo karibu na mwezini πŸ˜‚
Na hivi kinaweza kufika odd 400,000 kweli?

Maana yake kwa akili ya kawaida kabisa umestake 100 halafu kuvumilia kidege kinafika laki, laki5 M1, M5 yaani unasubiri tu hadi 40M kwa akili ya kawaida ni next to impossible aiseee

Labda kama sio kindege
 
Hakika kwa stake ya 100 ikifika 50k tu unacashout fasta huyu labda aliacha simu kuja kucheki bado inacount
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…