Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Mimi humu walishawahi kunitukana hivi hivi...Ila wewe Leo umeamuq kutufurahisha..natumai unatania haupo serious
Mkuu samahani naomba kuuliza tena. Kwa mfano ukiwe 0.5 ikisha funga goli likitokea utaona wanaweka tiki. Sasa je na hi kama umechagua 1:0 goli likifungwa wanaweka tiki? Au wanasubili match iishe?Hiyo maana yake ni kwamba kuanzia wakati wowote wa mchezo ucahague matokeo yanayoweza kupatikana wakati mchezo unaendelea
Mfano ukichangua 1-0 maana yake ni lazima home team aanze kufunga ili score board isome 1-0 hata kama akiendelea kufunga na mwisho ikawa 3-2
Na ikiwa Away ataanza kufunga ni lost kwasababu hakuna muda ambao score board itasoma 1-0
Ukichagua 2-2 maana ya ni lazima ndani mchezo itokee score board inasoma 2-2 hata kama game itakwisha 4-2
Sijui kama nimeeleza vizuri
Mkuu acha kum entertain huyo bwege kwa kumjibuIla wewe Leo umeamuq kutufurahisha..natumai unatania haupo serious
ZakazakaziKamdomo
Sijaelewa vizuri swali lako mkuuMkuu samahani naomba kuuliza tena. Kwa mfano ukiwe 0.5 ikisha funga goli likitokea utaona wanaweka tiki. Sasa je na hi kama umechagua 1:0 goli likifungwa wanaweka tiki? Au wanasubili match iishe?
Kwamba huamini Kona kutoa draw,,,,, jamaa alihusika kwenye hilo π€£π€£π€£Mkuu wee ujajua tuu the way nimekua disappointed hv seriously et kona zinatoka droo we unaona ni ukweli huo
Kwamba kwenye hili chaguo la over 0.5 ikitokea goli moja tu kwakuwa umechagua hivyo utaona wanakuwekea tiki. Sasa je na yale machaguo ya 0:1 au 1:0 inapotokea hivyo unawekewa tiki? Au wanasubili match iishe?Sijaelewa vizuri swali lako mkuu
Una maanisha nini?
0.5 hii ni Under na Over
1 - 0 hii ni correct score
Unaulizia Under na Over
Au
Unaulizia Corect score during the Match ?
Usikute alimuua AzamMikeka yako unakuwa serious kuiandaa au unabonyeza tu!?
Hongera sana hapo kwa Mama muuza ki rahisi tu asubuhi πππππ
Jamaa yeye ndo katuma codes humu alafu anasema tukutane kesho bila hata maelezo mengine...Kwamba huamini Kona kutoa draw,,,,, jamaa alihusika kwenye hilo π€£π€£π€£
SawaMkuu acha kum entertain huyo bwege kwa kumjibu
Uzi unageuka kuwa kama uzi wa mipasho
Hapa ni mwendo wa kupeana code na maujanja ya kupambana na Bookies na sio jukwa la watu soft soft
Unawekewa tiki pale pale mkuuKwamba kwenye hili chaguo la over 0.5 ikitokea goli moja tu kwakuwa umechagua hivyo utaona wanakuwekea tiki. Sasa je na yale machaguo ya 0:1 au 1:0 inapotokea hivyo unawekewa tiki? Au wanasubili match iishe?
Nimecheza match 7 toka mwanzo timu 3 zilishapata goli na hakuna tiki wala cash out. Ila mwishoni kaja kuchafua timu moja kapata goli ambae sikumpa aanze duuuuh!Unawekewa tiki pale pale mkuu
Mkuu hizo timu tatu ambazo hazikuwekewa tiki ulichagua option gani?Nimecheza match 7 toka mwanzo timu 3 zilishapata goli na hakuna tiki wala cash out. Ila mwishoni kaja kuchafua timu moja kapata goli ambae sikumpa aanze duuuuh!
Yaan hujui betting afu ukastake hela yote hiyo 20,000MKuu mimi sijui lolote lile kuhusu betting huwez amini, hata hii niliweka tu baada ya kutaka kujua hii kitu huwa inafanyaje kazi.
Sasa itabid unipe shule nikuelewe maana ya hayo machaguo nakadhalika kama hutojal
Okay ngoja tuoneMkuu hizo timu tatu ambazo juu hazikuwekewa tiki ulichagua option gani?
Unaweza kuweka screenshot?
Inawezekana ikawa hatujaelewana
Cha umuhimu sio wakati gani tiki itawekwa
Muhimu ni tiki ni LAZIMA itawekwa hata kama ni baada ya game kuisha