Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

We si ndio mzee wa correct score 🤣🤣🤣🤣🤣🙌 na ulikua serious mwenyewe unajitetea na kutukana watu Leo imekuaje
 
Wanajamvi wenzangu kwema? Je nawezaje kutengeneza bet builder yaan kuchanganya option mbalimbali kwenye kampuni ya Melbet naomba mwenye idea anielekeze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…