Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Leipzig anaenda na majambo yangu yote fuc***n.....yaan kanji ananiponyoka
tabu nyingine mnajitakia tu mnabet majina makubwa ya timu..Liepzg fomu yake mbovu kabisa msimu huu hasa akiwa ugenini ndio hafai kabisa yupo kama Man Utd tu..lakini nyie wabishi mnae tu msipomuacha kumbetia huyo mtalia kila siku anawachania mikeka kwanini hamjifunzi.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…