Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

leo hakufai
Kabisa Leo hakufai
Screenshot_20250222_195445_Chrome.jpg
 
k47xzv.jpg

𝐈𝐂𝐄 𝐇𝐎𝐂𝐊𝐄𝐘 𝐎𝐍 𝐏𝐀𝐑𝐈𝐏𝐄𝐒𝐀

19+ ODDS

Code👉 TUJ2H

Jisajili PariPesa Kupitia Link Hizo Hapo Chini. Promo Code Weka 👉 TIPS2424

https://cutt.ly/hwKXFbXz

https://cutt.ly/hwKXFbXz

𝐍.𝐁. Pata Bonus Ya 300,000 Ukijisajili Na Kuweka Promo Code TIPS2424 Kisha Deposit.
 
Screenshot_20250222-210618_Chrome.jpg

Sijui kama nitarudia kubet,nimenyoosha mikono juu

Nimegundua kinachonirudisha kwenye huu ujinga ni kuwa na hela kwenye simu,sahivi nitaanza kuweka hela kwenye account za bank

Nimegundua kadi nyekundu zinaongoza kuharibu ubashiri sana,ukibeti mechi kuanzia 15 hutakosa mechi ambayo kutakuwa na kadi nyekundu
 
View attachment 3245648
Sijui kama nitarudia kubet,nimenyoosha mikono juu

Nimegundua kinachonirudisha kwenye huu ujinga ni kuwa na hela kwenye simu,sahivi nitaanza kuweka hela kwenye account za bank

Nimegundua kadi nyekundu zinaongoza kuharibu ubashiri sana,ukibeti mechi kuanzia 15 hutakosa mechi ambayo kutakuwa na kadi nyekundu
Huo ugunduzi utazaa ugunduzi na ugunduzi usio na maana hiyo ndo betting.

Unabeti kama kazi ili iweje ? Beti pata potea hahaha😀😀
 
View attachment 3245648
Sijui kama nitarudia kubet,nimenyoosha mikono juu

Nimegundua kinachonirudisha kwenye huu ujinga ni kuwa na hela kwenye simu,sahivi nitaanza kuweka hela kwenye account za bank

Nimegundua kadi nyekundu zinaongoza kuharibu ubashiri sana,ukibeti mechi kuanzia 15 hutakosa mechi ambayo kutakuwa na kadi nyekundu
Pole mkuu, hebu msikilize huyu jamaa

9.428 Aufrufe · 21.653 Reaktionen | Mwamba ana hoja azingatiwe au achukuliwe poa tu kama wengine? 😁😁😁😁 Baki nasi Kwa kuendelea kutufuatilia kupitia Instagram: kissfmtanzania Facebook: kissfmtanzania Twitter(X): kissfmtanzania Youtube: kissfmtanzania Pia unaweza kusikiliza LIVE: www.kissfm.co.tz #kissfmtaarifa #kissfmvijimambo #kissfmtanzania🇹🇿 #kissfmtanzania #kissfm2025kuwaleokablayakesho | Kissfm Tanzania
 
Jicho la leo

Man U kwasasa hatabiriki kabisaaaaaa, muombe bao moja tu
Away team Over 0.5
Odd 1.45

Aseno wako vizuri wanacheza na mchovu West Ham mwenye ukuta mbovu
Muombe Aseno bao 2
Home team Over 1.5 Odd 1.44

Atletico Madrid ana form nzuri na kutokana na Madrid na Barca kuangusha angusha alama kunamfanya anakaza sana labda anaweza kuambulia ubingwa
Mfuate kwa Double chance
2X Odd 1.25

Mamelodi Vs Ts Galaxy, hapa hakuna kumungunya maamamuzi nikumfuata Mamelodi mazima ukizingatia yupo nyumbani
Home team Win. Odd 1.6

Les Parma wako hoi ni ngumu kuzuia mziki wa Barca anasukumana na Madrid na Atletico kwenye mbio za ubingwa La Liga
Mfuate Barca mazima
Away team win Odd 1.24

Jumla Odd 5+
A5ALG - 1Xbet Code

Tia mzigo kisha subiri maajabu ya matokeo ya mpira ili uje kunishukuru/laumu maadae
 
Najiuliza Jamani kweli hivi wote humu ndani mumeshajiunga na DBbet kweli?

Kama Bado Basi 👇
DBBET📌📶❗

PROMO CODE 👉 BUZA❗📶

Haina Makato uhakika wa deposit 24/7 mitandao

jiunge hapa👇

DBBET:db-bet.co/BUZA
Promo code jaza: BUZA❗📶
banners EN 8.jpg_output.jpg
 
Jicho la leo

Man U kwasasa hatabiriki kabisaaaaaa, muombe bao moja tu
Away team Over 0.5
Odd 1.45

Aseno wako vizuri wanacheza na mchovu West Ham mwenye ukuta mbovu
Muombe Aseno bao 2
Home team Over 1.5 Odd 1.44

Atletico Madrid ana form nzuri na kutokana na Madrid na Barca kuangusha angusha alama kunamfanya anakaza sana labda anaweza kuambulia ubingwa
Mfuate kwa Double chance
2X Odd 1.25

Mamelodi Vs Ts Galaxy, hapa hakuna kumungunya maamamuzi nikumfuata Mamelodi mazima ukizingatia yupo nyumbani
Home team Win. Odd 1.6

Les Parma wako hoi ni ngumu kuzuia mziki wa Barca anasukumana na Madrid na Atletico kwenye mbio za ubingwa La Liga
Mfuate Barca mazima
Away team win Odd 1.24

Jumla Odd 5+
A5ALG - 1Xbet Code

Tia mzigo kisha subiri maajabu ya matokeo ya mpira ili uje kunishukuru/laumu maadae 😂

Always stake what you can afford to lose 🙏🙏🙏
Oooh muombe Aseno bao 2 yuko form 👀

Naruka mkojo kwa Maniyuu nakanyaga kinyesi kwa Aseno

Leo nayo siku
 
Back
Top Bottom