Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

hapa Utarudi tu mkuu…aliekushauri kuanza betting ndo alikosea
Kurudi sijakataa ila msimu ujao mkuu Kwa sasa wacha niangalie tuπŸ˜‚πŸ˜‚ kuna muda muhindi anakabia juu sana sijui anamarejesho mahali
 
Kumbe hata huko mbele watu wameshaanza kuhis hizi match zinapangiwa matokeo,hili tukio limetokea jana
jAmaa baada ya kufunga alitolewa na kocha wake,kwenye comments kuna raia kasema huyo alietakiwa kupiga penati,ameshakosa penati kama tatu zilizopita,hapo chini ni baadhi ya comments za wadau
 
Italia ni kama Africa tu kwenye kupanga matokeo. Mimi hua siweki mkeka mechi yo yote Ligi za Africa au Italia.
 

Booking CodeπŸ‘‰ T77PJ

Jisajili PariPesa Hapa πŸ‘‡

https://cutt.ly/hwKXFbXz

https://cutt.ly/hwKXFbXz

Promo Code Weka πŸ‘‰ TIPS2424

Weka Promo CodeπŸ‘‰ π“πˆππ’πŸπŸ’πŸπŸ’ Upate TZS πŸ‘πŸŽπŸŽ,𝟎𝟎𝟎 Bure Ukijisajili PariPesa Na Kudeposit.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…