Prostar
Senior Member
- Apr 25, 2015
- 126
- 72
NomaPsg vipi tena mpaka Sasa bila bila duh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NomaPsg vipi tena mpaka Sasa bila bila duh
Kurudi sijakataa ila msimu ujao mkuu Kwa sasa wacha niangalie tu😂😂 kuna muda muhindi anakabia juu sana sijui anamarejesho mahalihapa Utarudi tu mkuu…aliekushauri kuanza betting ndo alikosea
Pole nikipata muda kuna screenshot nitakuwa natuma odds hazizid 40 ila akili kumkichwaKaka usicheke kaka nimeumia mm
Italia ni kama Africa tu kwenye kupanga matokeo. Mimi hua siweki mkeka mechi yo yote Ligi za Africa au Italia.Kumbe hata huko mbele watu wameshaanza kuhis hizi match zinapangiwa matokeo,hili tukio limetokea janaView attachment 3247371
jAmaa baada ya kufunga alitolewa na kocha wake,kwenye comments kuna raia kasema huyo alietakiwa kupiga penati,ameshakosa penati kama tatu zilizopita,hapo chini ni baadhi ya comments za wadau
View attachment 3247375View attachment 3247376
Kuna ligi ni za kuwa nazo makiniItalia ni kama Africa tu kwenye kupanga matokeo. Mimi hua siweki mkeka mechi yo yote Ligi za Africa au Italia.
Aiseh kumbe waga wana edit et kkView attachment 3247595
Niliedit hapa kwa stuttgart
Mmm ahaaa apo tunawapa over 2.5Vp wadau simba anafaa kufwatwa mazima
Wanaedit wajinga ndio waliwaoWakuu kuna yale ma group ya mikeka whasap, unalipia kwanza ndo unapata code, aiseeeeh kilichonikuta mimi mweeeeh, ivi ile mikeka waga wana edit ama, tujuzane jamanView attachment 3247408
Duuuh wale jamaa ni wapuuzi aseh wamenizabua laki yangu kimasihara dah qmmkWanaedit wajinga ndio waliwao
pole sana. kuwa makini na hata humu JF kwenye huu uzi wa wazee wa mikeka. nako kuna matapeli humu.Duuuh wale jamaa ni wapuuzi aseh wamenizabua laki yangu kimasihara dah qmmk