Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mkuu kwani unaposikia analysis kwenye betting unadhani huwa ina maanisha nini?

Kwa ufupi ni kwamba option yoyote utakayo chagua lazima kuna sababu imekushawishi kufanya hivyo...... hizo sababu ndio analysis yenyewe

Analysis haimaanishi ikifanyika NILAZIMA itatoa matokeo CHANYA
 
Analysis ni uchambuzi, sawa. Na katika mpira uchambuzi hauku-garantee moja kwa moja kupata motokea sawa kama ulivyo chambua na katika betting hata uchambue vipi hakukupi uhakika wa 100% kushinda na ndio mana nikawambia betting haiwezi kua chanzo chako cha mapato na ukitaka kugeuza kiwe chanzo chako cha mapato lazima utapata mental illness.
 
Muhindi ulimgonga vimilioni kadhaa nini?
 
No kaka nataka nijione jinsi nilibokuwa mjinga wa mwisho kuliwa laki 1 ivo tu
Mm naweza kaka.
Nicheck inbox nikueleweshe how.

Kuna kipind invoice nilikuwa nabadilisha some info na kuzitoa tena, nagonga muhuri napeleka Store na mzigo unatoka mwing zaid na cha juu nilikuwa nakula.

Kuja kufanya reconciliation ni mwaka mmoja mbele , mm nishaacha kazi 😂😂😂😂.
 
Kuna kipindi M bet system yao ilikua kama imeyumba ivi. Sasa kuna jamaa mmoja cashier alishtukia maana ilikua akimprintia mteja mkake alikua na uwezo akauprint zaid ya mara kumi kwa hela ile ile. Sasa alichokua anafanya anatufuta mechi yenye uhakika 99.9% eg beyern ile ya balaa Vs na kibonde odd ina weza ikawa 1.12 sasa yeye hapo anatia laki alafu ana urdia rudi zaidi ya mara kumi kwa dau hilo hilo moja na ukitiki inatiki mikeka yote let's aliweka mikeka kumi hapo anadraw milion na kitu. Jamaa alipiga sana hela hadi wanakuja kustuka kashapiga zaid ya milion 30.
 
Oy family anayejua namna ya ku edit mechi kama awa wapuuzi anielekeze tafadhali
View attachment 3249038
FOR EDUCATIONAL PURPOSE ONLY:
matapeli wanatumia apps kuedit won tickets. kuna apps nyingi sana za kuedit mikeka. apps za kuedit mikeka zinafahamika kama HTML EDITORS au WEB EDITORS. kuzipata, google neno HTML EDITOR.

nitakuelekeza kwa kutumia app ya web editor, idownload kwenye link hapo chini:


JINSI YA KUITUMIA:
-install hiyo app ya web editor
-ingia betPawa kwa kutumia browser iliyo ndani ya app ya web editor
-sasa edit ticket kwa kutumia web editor (kuedit won ticket, unatakiwa utumie ticket ulizoshinda. huwezi kutumia lost ticket kupata edited won ticket)
-ukishamaliza kuedit ticket, iscreenshot upate edited ticket kwa ajili ya kuishea.
 
Uchambuzi mzuri, asante kwa kushare hapa.
 
MKEKA WA LEO
1.Al Hilal SFC v Al-Kholood

Bet: Al Hilal SFC wanashinda leo.

2. Celtic Glasgow v Aberdeen FC

Bet: Celtic Glasgow wanazibua mtu

3. Chelsea FC v Southampton FC

Bet: Chelsea FC wanaingiza hela leo.

.............
Ndugu yaani bado unaujasiri wa kuiweka Chelsea kwenye mikeka?
Achana nayo kabisa.
 
Nashauri msiingie kwenye hii link na link zingine zinazowekwa humu zinazofanana na hizi.
Waweza ishia device yako kuwa compromised.
 
Lakini cycle ya odds mbili kila weekend lazima umalize mwaka na hasara. Haziwezi enda wiki 3 mfufulizo hao big teams mmoja hajachana mkeka.
 
MKEKA WA LEO
1.Al Hilal SFC v Al-Kholood

Bet: Al Hilal SFC wanashinda leo.

2. Celtic Glasgow v Aberdeen FC

Bet: Celtic Glasgow wanazibua mtu

3. Chelsea FC v Southampton FC

Bet: Chelsea FC wanaingiza hela leo.

.............
Al hilal gg
Cletic ov 2.5
Chelsea ov 2.5
Ongezea hio
 
MKEKA WA LEO
1.Al Hilal SFC v Al-Kholood

Bet: Al Hilal SFC wanashinda leo.

2. Celtic Glasgow v Aberdeen FC

Bet: Celtic Glasgow wanazibua mtu

3. Chelsea FC v Southampton FC

Bet: Chelsea FC wanaingiza hela leo.

.............
Al hilal gg
Cletic ov 2.5
Chelsea ov 2.5
Ongezea hio
 
Kwahiyo SATIVA17 yupo na mental illness? 😄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…