Mwalimu wa Zamu Tz
JF-Expert Member
- Jan 2, 2021
- 1,053
- 2,757
Hii kitu zilibaki zinaenda vizuri sema yule nyau peke kule juu
Imetoa hiiAl hilal gg
Cletic ov 2.5
Chelsea ov 2.5
Ongezea hio
Big WONJapo chelsea simwamini lakini natembea naye kwa ngumuView attachment 3249442
Hongera sana
Duhh!!Kuna kipindi M bet system yao ilikua kama imeyumba ivi. Sasa kuna jamaa mmoja cashier alishtukia maana ilikua akimprintia mteja mkake alikua na uwezo akauprint zaid ya mara kumi kwa hela ile ile. Sasa alichokua anafanya anatufuta mechi yenye uhakika 99.9% eg beyern ile ya balaa Vs na kibonde odd ina weza ikawa 1.12 sasa yeye hapo anatia laki alafu ana urdia rudi zaidi ya mara kumi kwa dau hilo hilo moja na ukitiki inatiki mikeka yote let's aliweka mikeka kumi hapo anadraw milion na kitu. Jamaa alipiga sana hela hadi wanakuja kustuka kashapiga zaid ya milion 30.
Leo nimewatoa wamama (women's league) baada ya jana kuniangushia treni la timu saba. Timu sita zimepita wao wakaniangusha!Leo tuanze na hiyo Betway 1797896E
Ndugu matokeo umeangalia lakini??? Bado unaidharau Chelsea?Ndugu yaani bado unaujasiri wa kuiweka Chelsea kwenye mikeka?
Achana nayo kabisa.
Nimetoka kwenye kustake 100k sahz natia elf 2 usiniulize kwanini🙌
mimi huwa nikistake mikeka zaidi ya mmoja basi wa hela ndefu ndo huwa unatangulia kula mweleka, sijui ata nawaza niniNimetoka kwenye kustake 100k sahz natia elf 2 usiniulize kwanini🙌
Ingekuwa simple hivi wote humu tungekuwa na altezzaKesho kuna hela inamwagika kesho tushindwe sie tu maana liver over 1.5 mechi nzima, Al ahly win or draw, man u atoe goli moja, Madrid win or draw, rangers win or draw, Singida win or draw, Leipzig atoe goli moja, Psg win, juventus win or draw! Weka Hati ya Nyumba hapa weka mpaka figo yako moja 😄