Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Maafisa wenzangu kwa uzoefu wangu hii wikendi ambayo uefa zimeisha, na inafuata international break mechi nyingi za timu kubwa za ulaya huwa na matokeo yanayotabirika vizuri sana.
Pia ile wikendi baada ya international break pia mechi karibia zote za timu kubwa ulaya huwa na matokeo yanayotaborika kabisa.
 
Kamwe usiache hii fursa inayokuja ya wikendi hii, ni ile wikendi baada ya mechi za kimataifa za timu za taifa.
Utanishukuru sana baadaye.
 
Maafisa wenzangu kwa uzoefu wangu hii wikendi ambayo uefa zimeisha, na inafuata international break mechi nyingi za timu kubwa za ulaya huwa na matokeo yanayotabirika vizuri sana.
Pia ile wikendi baada ya international break pia mechi karibia zote za timu kubwa ulaya huwa na matokeo yanayotaborika kabisa.
Kutabirikaje?
 
Kutabirikaje?
Zile posible options zako za kila siku kwa hizo timu hutokea kweli kwa hizi siku.
Kama PSV kila mara unampa over 2.5 goals anachana, nasi kwa hizi siku ndiyo kweli huishia over 2.5 goals.
 
Pia lazima uweke angalizo pia kulingana na mpinzani wa timu zako pendwa. Mfano mimi chaguo langu pendwa kwa EPL na La liga huwa ni wins kwa big teams, ila wikendi hii wapinzani wao ni tishio pia, nimeishia wapa GG - yes.
 
Hata mechi za PSV na Ajax ambazo machaguo yangu pendwa huwa ni over 2.5 goals, wikendi hii nimeishia wapa wote over 1.5 goals kwa sababu ya muenendo wa matokeo ya mechi zao za karibuni.
 
Wakuu,naomba kuelimishwa,kwenye Betpawa Jackpot kuna maandishi "Pick 13 winners,prize for 10 correct"
Hii inamaanisha ukiweka mkeka wa mechi 13,kumi zikashinda tatu zikapoteza unapewa mshiko wako au unakuwa umepoteza pia?
 
Wakuu,naomba kuelimishwa,kwenye Betpawa Jackpot kuna maandishi "Pick 13 winners,prize for 10 correct"
Hii inamaanisha ukiweka mkeka wa mechi 13,kumi zikashinda tatu zikapoteza unapewa mshiko wako au unakuwa umepoteza pia?
Unapewa mshiko wako, ila jamaa wale hela yao ndogo sana wale jamaa hasa ukiishia mechi 10 Raha ufikishe angalau mechi 12 au 11 ndo utaona Raha yake
 
Unapewa mshiko wako, ila jamaa wale hela yao ndogo sana wale jamaa hasa ukiishia mechi 10 Raha ufikishe angalau mechi 12 au 11 ndo utaona Raha yake
bora hawa sioni hasara sana hapo tena ww ukiwa umestake tsh.100 tu betpawa bonus zao sio mbaya sana hasa ukipatia mechi 11 au 12 na tamu zaidi ukuweka double chance japo tatu tu zinasoma tiketi nane na kila tiketi inalipwa kivyake ukiotea 11 bonus ikiwa laki moja basi ww kama ulipata zile double chance za tiketi zako nane zile hapo unakunja laki nane safi kabisa kwani kila tiketi imelipwa kivyake.
 
k8ykrt.jpg

CHINA BASKETBALL 🏀

Booking Code 👉 59UVV

Jisajili Melbet Hapa 👇👇

https://mlbt.cc/40coprj

https://mlbt.cc/40coprj

Promo Code👉 TIPS2424

Pata 250000 Bure Kwa Kujisajili Melbet Na Kuweka Promo Code TIPS2424 Kisha Kudeposit.
 
naomben mnisaidie namb za wakala yoyote wa 1xbet ambae yupo chap,kwamaan huyu nilienae aseh ni kilaza yupo slow kishenz nataka awe wa backup yan nmedosit hela toka sa4 asbh hadi mida hii sa6 kasoro mpumbavu hajaeka hela na simu hapokei bado kalala yan,nitumieni namb hata za mboje na wengn ambao wapo chap ila sitak namba za etoo huyu nae hanifai hata kwa nyongeza
 
Back
Top Bottom