Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

heheehee...! mama anashangaa watu wanaongelea pesa tuu humu ndani pasipo biashara inayofanyika kueleweka vyema.
 
Mkuu Rock nasoma sana hii mada lakini sielewi,naomba nieleweshe faida yake na jinsi ya kujiunga

heheehehe..! mama hapa kunazungumziwa mambo ya sports betting. way of getting money basing on your lucky and sports discipline. Kwa baadhi hufanya kama hobby, Wengine hufanya kama biashara. Na sisi wengine tunalifanya kwa mchanganyiko (Hobby na biashara kwa pamoja). Unabashiri matokeo ya mchezo, Mwisho wa siku ukishinda unashinda pesa yako. Kiasi cha pesa unachoshinda kinategemea na kile kiasi ulichokiweka na total points ziliwekwa kwa option hiyo.

ONYO
#####

1. Bet what you can afford to loose.
2. Dont try to chase the lost money (Though wengine tunnakiuka hii sheria, But tunaishiaga kuwin ama kufail)


Dont enter huku kama haujajiandaa, na michezo ya pesa hujaizoea.
 
Game nilikuwa naiogopa sana hiyo. Ila Man city anashinda hii mechi.
 
Hii 28+ inaweza ua mtu kwa presha.

goli limefungwa dakika ya 27 na sekunde zake
 


Wa pili huu hapa.


Wa tatu huu


Wa nne huu.



Haya wadau fanyeni compilation nitoe mmoja wa mwisho wenye timu nne kati ya hizo nilizochagua.
 
hahaha mzee wenger analalisha watu njaa humu leo, nasuburi vilio tu hahah..
 
nikosa kuweka timu moja kwenye mikeka miwili, nimemuona Everton, akipigwa tu... mikeka yote imechanika

Ila ikishinda. Mikeka mitatu imeokoka. Na tayari dakika ya tatu sasa everton anaongoza moja
 

Duh, mkuu naona ushatia tiki kwa arsenal hapo
 
Meridian website yao haipo sawa kabisa. Yaani inachukua muda mrefu kuload. Hawajui watu tumeweka mizigo yetu na tunacheza live.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…