Huu ni ule wa kibishi. Jilipue at your own risk. Hapo odds zinakuja 12 in total. Ukiamua kula cha haramu, chagua kile kilichonona. Bet at your own risk, Bet responsibly.
huu nimeupenda sanaaa!
Ila yote hii majibu yanajipa j5 usiku. Ni mechi za kesho na keshokutwa.
kesho naweka mwekundu kweny red card pesa hyo mi nakwambia ongeza dau..,,
Huo wa red card nimeweka nimelala nao kwenye kona, nimejilipua na buku 40 cash. Liwalo na liwe.
total odds ni ngapi huo wa redcad
View attachment 187459
aiseeeee nikikosa hapa kuna mkono wa mtu
Odds zimekuja kama 13 na point hivi.
aisee kwa uwoga nilionao wiki hii ntaweka game 3 kwa kila mkeka. Ntatoa kama mikeka mi3 maana italy kule hawakawii kuuza mechi
View attachment 187459
aiseeeee nikikosa hapa kuna mkono wa mtu
Naombeni Somo kidogo na hii Meridian,jinc ya kujiunga na inachezajwe,maana nackia tu red card(nyie ndio kina webbuee) mara nackia penalty,odds
Embu nipeni Lecture Khusu Meridian 2mfilic Kanjibai Ili Shabani awe huru.
Na hii ladbrokes ndio nin tena...?
Mie nimezoea M-BET.
Fungua link uliyotumiwa kwenye email ili account yako iweze kuwa active.
Jana nimefanya hvyo na sahiv nimetoka kufanya hvyo tena ila bado player not found, na zile codes walizotuma unaziingza wp mzaz