wazee wenzangu embu nisaidieni hapa, ticket yangu wanaiita half loser ticket alafu mech ya fiorentina imeisha bila red card..
hii hapa
Mmmh hapa sielewi mzee mwenzangu ngoja waje vijana wa mikakati
Dah Barcelona kaua wengi mimi mmoja wao, rahim_baharia hapo mie sielewi maana haijawahi nitokea.
He hiyo half lose wamekupa sh ngapi?
hii hapa
mkuu, odds zilikuja ngapi na unakiwa upate sh ngapi!? maaa jana gem zilikua kama 19 hivu alafu zote hazina red card
mkuu, odds zilikuja ngapi na unakiwa upate sh ngapi!? maaa jana gem zilikua kama 19 hivu alafu zote hazina red card
Leo vp jaman red card hzo....zipo??
zipo ndugu..
hiyo mechi ya fiorentina nimeiangulia kulikua hakuna redcard ya aina yoyote
Ngoja nkaongeze pesa meridian....ukifanya mpango tupe tuchungulie mkuu:thumbup::thumbup:
mi mwenyewe ndio nashangaa yaani, nimejiunga juzi ila dizaini naona kama wamekaa kitapeli tapeli..
hahahaha....eti wamekaa kitapeli...em wapigie simu asee
Wakuu habari..naomba kujumuika nanyi mi investor kama nyinyi sema sio wa mda sana.
wakuu nimeongea na Meridian customer care wanadai hilo tatizo ni wengi tu wamelipata so wanadai wanalishughulikia..,,
Thanks, naona wamesharekebisha.